Nilimzalisha dada yangu, nitapata laana?

Nilimzalisha dada yangu, nitapata laana?

mkuu habari yako ni ya kutunga kwa sababu moja kubwa ifuatayo:
1. umesema babako alifilisika hadi nyumba zake 2 zikapigwa mnada lakini kumbe alikuwa ana ng'ombe 205 ambao wewe uliwauza na kupata pesa kibao. je babako alikuwa zumbukuku asijue wapi pa kuuza? maaana yeye hakuhitaji ruhusa kama yako toka kwa babu.hadi benki inauza mali zenu zote hawakuwahi kushauriana wauze hao mifugo? jaribu kurekebisha hii MOVIE YAKO Usiache swali muhimu kama hilo
 
Marafiki habari za kuhaingaika
Kwetu tumezaliwa wawili tu mapacha , Mimi na Dada yangu, baba yetu alikua mkali na mkoloni sana hatukuruhusiwa kutoka nje kabisa labda shule tu na tulienda na Gari la nyumbani
Tulikua tukiishi mkoani na ilikua ni mwishoni mwa miaka ya tisini

Tukiwa form six, nadhan tulikua tumefunga shule tukiwa home, Dada yangu aliletewa mkanda Wa kikubwa na Rafiki yake baada ya Rafiki kuondoka tukawa tunauangalia sielewi ni nini kilitupata tukajikuta tumezini, mm kwangu ilikua ni Mara ya kwanza ila nadhan mwenzangu alikua tayari keshafanya huko nyuma

Ikawa kila siku tunafanya wazazi wakiondoka
Kuja kustuka haoni siku zake akamwambia mama naye akamwambia baba
Sijui niwaeleza lugha gani muweze kuelewa kilichotokea
Ilikua ni mtiti akaambiwa aeleze ni nani aliempa mimba akawa anasingizia wanafunzi wenzie shuleni, wakifika shule anababaika anashindwa kutaja basi akafukuzwa shule hata mtihani Wa mwisho hakufanya

Wakati hilo halijaisha biashara za Mzee zikaanza kuyumba vibaya vibaya na alikua na deni kubwa sana benki wakaja kuuza nyumba tunayokaa bado haikutosha
Nyumba tuliyohamia ikapigwa mnada pia
Mzee akapata stroke, tukaanza kuhangaika nae kila hospital,
Mtihani Wa mwisho ulipofika sikuweza kufanya kitu nilikua naangalia tu makaratasi maana tulitoka maisha ya juu ghafla tukaporomoka hadi chini ndani ya miezi 9-12
Mzee akawa amefariki tukaenda kuzika kijijini
Hakukua na chochote kilichobaki mjini si nyumba nini
Tumezika kama Leo wiki moja mbele Dada akajifungua mapacha Wa kiume kama sisi tulivyo mapacha

Baada ya ndugu kutawanyika na miezi minne kupita tukiwa bado kijijni maana tulipanga tuishi huko huko mjini hatukua na chochote mama aliniita akaniambia niende mjini nikaangalie matokeo yangu ndipo tunaweza kupanga tufanye nn
Matokeo yalikua mabaya

Usiku mmoja mama na babu wakaniita babu akaniambia chukua hawa ngombe ukauze wote utuachie watano tu
Hii ndio mali pekee Mzee wako alioacha, walikua ngombe 200
Nikapewa baba zangu wadogo tukaenda mnadani tukauza nikapata pesa nyingi mno

Nikaja dar kutafuta maisha na kiasi hicho cha pesa
Nikawa nanunua ngombe mkoani naleta dar hadi mtaji ukaongezeka mara tatu

Nikafungua biashara zingine na nikanunua kiwanja boko na nikajenga
Nikarudi kijijini nikamchukua Dada yangu na watoto had I mkoani wakiwa na miaka mitano nikampangia nyumba na kumfungulia biashara lengo ni watoto waanze la kwanza hivyo walitakiwa maandalizi ya nursery
Mama tulimwacha kijijini alikataa kabisa kuja mjini
Siku moja tuliagiza pombe walau tusherehekee mafanikio maana hatukumini kama tungefika hapo
Baada ya kunywa sana nikaona nikalale akanifuata chumbani na kuanza romance nikamzuia nikamwambia hatupaswi kurudia kosa hili, tushukuru huenda ni mpango Wa mungu Mzee kufariki kabla hajajua mm ndio nilikupa mimba
Na bado hatujui siku mama akijua itakuaje
Akaniambia yeye hataki mwanaume mwingine zadi yangu na kwamba ananipenda mm tu
Nakuja kustuka hivi na boxer na vest ameshavitoa huku akiendelea na zoezi moyo wangu ulishakataa ila mwili ukawa dhaif tukawa tumezini

Tangu hapo huwa anakuja dar tunafanya nashindwa kuresist ile pressure
Nikapata msichana mmoja dar alipokuja dar akatukuta nae kwangu alifanya fujo na kumpiga vibaya yule binti hadi majirani wakaniambia kumbe ulishaoa husemi, mi nashindwa kuwajibu
Nikapata demu mwingine Dada yangu alipokuja akakagua simu akaona SMS za mapenzi akampigia akamtukana sana akamwambia yule demu eti nimeoa na nna watoto wawili demu akakimbia kimoja

Nimepata Dada mmoja Wa benki tunapendana sana na tumepanga kuishi pamoja lakini kikwazo ni Dada yangu
Akigundua tu ni balaa
Sijui nimwambie huyu banker in advance kuhusu ili tatizo?

Marafiki naombeni ushauri
Maana mama mwenyewe anataka nioe nitulie

Dada anasema nisijidanganye kuoa ni kazi bure
Nikimwambia tafuta mtu wako na wewe uolewe hanielewi

Nifanye nini?
Naogopa laana

Picha yako na ya dada yako mbona hujaweka ili tusome iq zenu? Ni hapo pekee ndo tutakwambia kilicho sahihi. Weka picha please!
 
mkuu habari yako ni ya kutunga kwa sababu moja kubwa ifuatayo:
1. umesema babako alifilisika hadi nyumba zake 2 zikapigwa mnada lakini kumbe alikuwa ana ng'ombe 205 ambao wewe uliwauza na kupata pesa kibao. je babako alikuwa zumbukuku asijue wapi pa kuuza? maaana yeye hakuhitaji ruhusa kama yako toka kwa babu.hadi benki inauza mali zenu zote hawakuwahi kushauriana wauze hao mifugo? jaribu kurekebisha hii MOVIE YAKO Usiache swali muhimu kama hilo


GREAT THINKER:yo:
 
Fanya kutubu mkuu,,na kaa na dada yako umueleze kinagaubaga! Maana hakuna dhambi isiyosameheka mbele ya Mungu!
 
Watu wote ni ndugu tumetoka kwa adamu na eva,mengine ni sheria za kibinadamu.kumbuka rutu na binti zake!

There is a limit to everything....wakati watu hawajazaana na kuongezeka hilo liliwezekana..sasa kwa wakati huu ambapo kila kona kuna watu huwezi kulala na dadako kwa kisingizio cha wote ni ndugu.

Remember wale mabinti wa Loti walikuwa under impression kuwa kizazi cha binadamu kilikuwa kimefutika isipokuwa wao..thats why wakamlewesha baba yao na kuzini naye ili wapreserve kizazi cha binadamu kisiishe...so they had a genuine reason ingawa walikuwa misguided and misinformed..then haikufanyika kwa consent ya pande zote..maana kwanza walimuintoxicate mdingi wao

Go one step further in your line of thinking na utajikuta unamtawanya mamako mzazi!!!take care
 
Tubu kwa mola wenu hakika mwenyezimungu husamehe.Baada ya kutubu msirudie tena kosa hilo.Mwenyezimungu anajua zaidi.
 
Ni hatari sana aise duniani kuna mambo mengi sana usione watu wanatembea wengine wamebeba mazito

Upo sahihi mtoa mada ni mwongo ila ni fantasy zake alizojiwekea kichwani for long time sasa anazileta inform of stories (fiction one ) amebeba mazito mno, hii ni kwashiakor ya akili he need immediate psychological help. unaanzaje kumtawanya dadayako ?????
 
hii habari nimesikitika sana, nimecheka sana hapa, nimehuzunika sana, na nimelia sana sijui ni stori ya kutungwa kama wanavyofanya siku hizi wanatunga stori humu mjengoni au ni stori ambayo ni chicha au ni uhalisia kabisa siamini
macho yangu niliposoma hii stori kweli dunia imekwisha yaani dushelee lako lasimama kwa sista yako wa damu tena pacha mwenzio aiseee lweli Mungu anahitajika tanzania kwetu kumeharibika mweeeee
 
hata mm nashangaa dada yako pacha wako unamuona utupu wake aiseee kweli dunia hadaa kabisa
Upo sahihi mtoa mada ni mwongo ila ni fantasy zake alizojiwekea kichwani for long time sasa anazileta inform of stories (fiction one ) amebeba mazito mno, hii ni kwashiakor ya akili he need immediate psychological help. unaanzaje kumtawanya dadayako ?????
 
Watu wanawalala wazazi/watoto sembuse dadaake/kakaake,
Nashukuru MUNGU niliponea kidogo tuu nimlale dadaangu lkn ndio picha likaishia kulala na binamu zangu.
 
Back
Top Bottom