Maisha ni mafupii mno ukipata nafas ya kisasi we lipa tu tunakufa mda wowote ,mfano hata mungu mwenyewe tunamkosea kwa madhambi ndo aliichoma sodoma na gomora pia alishushshag arika ya mvua wakati wa noa pia ametoa ahadi ya kuwaangamiza watenda Zambi hivyo hivyo hupaswi kuwasamehe watesi wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.