Wakuu,naomba kuelimishwa,kwenye Betpawa Jackpot kuna maandishi "Pick 13 winners,prize for 10 correct"
Hii inamaanisha ukiweka mkeka wa mechi 13,kumi zikashinda tatu zikapoteza unapewa mshiko wako au unakuwa umepoteza pia?
Vigezo ninavyo,tatizo siyo mweupe,nimeoa,mtoto ataitwa kwa majina yangu,nitamuhudumia kwa kila kitu,wewe utaishi nae,meseji na simu za kila mara sitaki,nitakutafuta mimi,kama upo tayari DM.
NB:Baada ya mtoto kufikisha miaka 3,DNA test lazima.
Habari zenu wanajamvi?
Hivi ni sahihi kwa baadhi ya taasisi za serikali kuchaji gharama zao kwa kutumia Dola badala ya Shilingi ya Tanzania(Tsh)?
Mfano: Air Tanzania kwa safari za ndani, ukiingia kwenye website ya kufanya booking wameweka nauli zao kwa Dola badala ya Tsh, hii ni sawa?
Naomba mnisaidie kujua,UTT mbali na faida ya inayoongezeka siku za kazi,je kuna faida nyingine yoyote inayotolewa kila Mwisho wa Mwezi?
Sent from my SM-A137F using JamiiForums mobile app
Maelezo yenu ni mazuri ila watendaji wenu ni tatizo,nataka kuunganisha umeme kijiji(nyumbani) walikuja wakafanya survey,hadi leo sikuwahi kutumiwa control number,baada ya mzee wangu kufuatilia kwa muda mrefu akaambiwa zinahitajika nguzo tatu na anapaswa kulipia sh 3m ili kuunganishiwa umeme,hii...
Ziwa llimejaa hadi kupitiliza lakini maji mabombani yanatoka kwa kusuasua....hii ni aibu kwa mamlaka ya maji Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora hiyo barabara ingekuwa ya vumbi ikaeleweka, lami imetengeneza mashimo ambayo yanakata haswaa..... Unakwepa shimo unaingia kwenye shimo, Nyabugombe ni hatari zaidi..... Bora upande wa Ngara walijaribu kuziba mashimo kwa kuyajaza udongo.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...Tanesco mnafeli wapi?Mwanza-Ilemela kata ya Nyamhongoro kuna mtaa hauna Umeme hata Nguzo hakuna na kuna watu wengi,REA waligoma kupeleka umeme kuwa siyo kijijini,Nyie hata kujishughulisha hakuna,watu wameshafuatilia hadi wamechoka,ahadi zimekuwa haziishi.....!!!Tokeni...
Write your reply...Tanesco mnafeli wapi?Mwanza-Ilemela kata ya Nyamhongoro kuna mtaa hauna Umeme hata Nguzo hakuna na kuna watu wengi,REA waligoma kupeleka umeme kuwa siyo kijijini,Nyie hata kujishughulisha hakuna,watu wameshafuatilia hadi wamechoka,ahadi zimekuwa haziishi.....!!!Tokeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.