J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 2,927
- 2,356
Hivi ninavyoandika mamlaka zanazohusika na maji zinakatia watu maji na hii corona. Jamani, tuweni na utu. Hii inaendelea hapa Mwanza mjini jamaa wanawahi asubuhi kabla hata watu hawajaamka wanakata wanasepa. MWAUWASA Mjitafakari, jambo jema Corona haichagui maskini au tajiri.
Mungu wa mbinguni endelea kutetea wanyonge maana hakuna mwanadamu awezaye kuwatetea kipindi hiki hasa katika nchi yetu Tanzania ambapo mnyonge ameachwa apambane na hali yake mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wa mbinguni endelea kutetea wanyonge maana hakuna mwanadamu awezaye kuwatetea kipindi hiki hasa katika nchi yetu Tanzania ambapo mnyonge ameachwa apambane na hali yake mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app