Huna nidhamu ya hela either ni kwa sababu hukusota na kuujua upande wa pili wa shillingi au ni ignorance yako yakuona 1.2m is such a big deal ukasahau kufanya mambo mengine, labda niulize huo mshahara mnalipwa cash au kupitia benki??. Anyways pesa yako so as long as unaingiza kila mwezi endelea...
Yes mkuu, nahitaji kufungua kabisa promotion ya wrestling kwa Tanzania iwasaidie vijana kama bridge yakufika WWE, AEW, IMPACT, NEW JAPAN PRO WRESTLING, MWA etc.
Man of the hour.
Je una mbinu gani tofauti ya kulikabili soko la kujiajiri ?? Je plan yako ni implementable??! Na je unahisi una utofauti wowote na waliopo kwenye soko la kujiajiri wenye idea sawa???! Je wewe ni risk taker??! Na umecalculate hiyo risk na namna ya kuicover kama plan yako itaenda mrama??!
NB...
Habari ya jioni pia Heri ya pasaka wapendwa. Kama kichwa kinavyotaja juu nahitaji mawasiliano ya shirikisho tajwa hapo juu, pia naomba kufahamu makao makuu yao yalipo. Natanguliza shukrani zangu kwa msaada nitakaopata.
Man of the hour.
Why date her if you don't have plans with her??! Don't take dating as a hobby, kuna hobby mingimingi waweza fanya mfano swimming, watching movies etc, Don't take someone's heart for a hobby. May the wrath of Karma be with you.
Man of the hour.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.