Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,057
- 74,465
Itakuwa tayari ushakisave!
Ndugu yangu sijui tufanyaje unipasie hiki kipande kwa kweli
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Itakuwa tayari ushakisave!
Ndugu yangu sijui tufanyaje unipasie hiki kipande kwa kweli
Itakuwa tayari ushakisave!
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Ninayo nikutumie wapi au PMMufti kifaa ninachotumia kina limitations kibao! Hii natizama hapa hapa! Hakuna option ya kuipakua. Ningekuwa upande wa user friendly kule mbona kitambo tu ningekuwa nacho.
Ninayo nikutumie wapi au PM
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
2020 ndo hii, toa mrejesho9:freemason is just a minute.
Usiniulize sijui wako wapi?
But for me tukutane 2020
😰😰😰 aisee mambo yameenda mlama. Nimeangukia pua......2020 ndo hii, toa mrejesho
Man of the hour.
Ndugu oga hii cha mtoto tu, mi kwa Tanzania hii hakuna sehemu ambayo nitashindwa kuoga maji baridi.Ndugu zangu niko njia panda
“Shemeji yeenu wa zamaaanii, leo kanikumbuka kasema anataka kuja kulala kwangu,
Aisee kila nikifikiria ujio wake lazima mie nioge, nguvu zinaniishia.
Kunakoelekea naikataa hii ofa, yaani mie nioge leo, makaveli mie nioge na baridi hili”
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu oga hii cha mtoto tu, mi kwa Tanzania hii hakuna sehemu ambayo nitashindwa kuoga maji baridi.
e͕̓́s̤̓͝t̫͒̀-̭̅͝c͇ͬ̀e͎͂͞ ̡̘̔q̨̜̾u͙͂͢ẽ̷̯ ̣͆͜ṭ̡̈́u̶̖̾ ̯̈́͞m̡͕̄'̖̄̕a͉͆͘i̧͕͆m̛͎ͫĕ̸͍sͮ͟ͅ?
Imeandikwa mwenye kumwangalia sana mke asiyekuwa wake tayari amekwishazini nae, hivyo nawe kuyaangalia tu maji tayari umeshaogaHapana ndugu yangu! Leo navunja sharti, nayavulia nguo maji halafu siyakogi.
Yaani bangi nilovuta leo ovyo sana! Nimeandika note flani hivi kwenye simu yangu, tatizo limekuja kila nikisave najibiwa Note saved nimefanya kama mara 10 hivi...jibu ni hili hilo....nahisi simu yangu itakuwa mbovu
ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"