Kama Umejiajiri Pita Hapa

Kama Umejiajiri Pita Hapa

Je una mbinu gani tofauti ya kulikabili soko la kujiajiri ?? Je plan yako ni implementable??! Na je unahisi una utofauti wowote na waliopo kwenye soko la kujiajiri wenye idea sawa???! Je wewe ni risk taker??! Na umecalculate hiyo risk na namna ya kuicover kama plan yako itaenda mrama??!
NB: Always have plan A, don't allow to give up on your plan, zunguka mbuyu lakini hakikisha unarudi kwenye point yako na komaa na plan yako, you can't climb a mountain without heading obstacles, tiredness, pain. People give up just when they start climbing.

Man of the hour.
 
Unatakiwa ukubali kuchukua risks ,ujue kuna kufeli na kufaulu,
uitumie biashara yako kama darasa,
ujifunze unapoanguka uangalie umekosea wapi,
pia unaweza kupitia kwa Mtu ambae tayari yupo kwenye hilo eneo unalotaka kufanyia kazi
Mawazo yako yako vzr sana make huwez kupata elimu ya kitu fulan pasipo wewe mwenyewe kugharamia. Vzr sana mkuu
 
Ili usikate tamaa na unachokifanya kwanza ukipende. Kupata na kukosa ni sehemu ya biashara. Kuna siku naenda kwenye biashara yangu napata kidogo ila namshukuru Mungu sababu wakati mwingine napata kikubwa.

Cha muhimu usijiaminishe unatakiwa kupata tu, tupokee na kukosa pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nianze kusema mm ni mama wa watoto watatu. Nilianza kujitegemea nilipo achana na baba watoto wangu ktk mambo fulani..
Nakuja ktk mada yenyewe. Nilikuwa golikipa but akili.ilisimama pale nilipo kuwa separated ktk ndoa na.mme wangu.. nikaingia ktk kujifunza kusuka nywele za mkono bureee kabisa namwita mtu namsuka hadi kufikia kusuka rasta, weaving, kushona wigs, na kusuka kimasai yote hayo nilikuwa nanunua rasta namwita mtu haswa marafiki zangu. Hata watoto nilikuwa nawasuka kwa gharama zangu mie. Mtauliza hela nilikuwa napata wapi. Nilipoachana na mme wangu nilirudi home wakat huo wazazi wapo hai. Walinilea ndo nikawapa my idea wakaikubali.. hatimaye nikaanza kujua na kujua zaid hadi kuwatoza watu hela.. nikawa naweka akiba nikijua kids wananingoja niwaleee bila.msaada wa wazazi.
Nilipata hela ndogo sana nilikuwa nasukia home niliweka tangazo njian kuhusu msusi anapatikana hapa wa mitindo yote.
Nilipopata laki moja nikaanza agiza mkaa nikawa napiga mbili kwa moja mkaa napima wa kuuxa. Now sina wazazi but najutegemea mwanangu yupo boarding nasomesha bika msaada wa mtu yoyote yule wengine mmoja ameanxa kazi na mdogo yupo day ila international school. Nauza mkaa wala sioni haya bali natafuta pesa. Now nimeanxa kujenga nataka kutoka ktk.nyumba ya wazazi. Pia nipo kuweka ofis ya saloon huko nijengapo house na ofic ya mkaa... Nikiwa ktk mkaa sivai nguo chafu noo. Navaa nguo xa kazi kama.niko ofisin nana weavingand pia because napenda kaxi yangu sana.
NDUGU ZANGU MSICHAGUE KAZI DUNIA YA SASA. ASANTENI.
 
Kwanza nianze kusema mm ni mama wa watoto watatu. Nilianza kujitegemea nilipo achana na baba watoto wangu ktk mambo fulani..
Nakuja ktk mada yenyewe. Nilikuwa golikipa but akili.ilisimama pale nilipo kuwa separated ktk ndoa na.mme wangu.. nikaingia ktk kujifunza kusuka nywele za mkono bureee kabisa namwita mtu namsuka hadi kufikia kusuka rasta, weaving, kushona wigs, na kusuka kimasai yote hayo nilikuwa nanunua rasta namwita mtu haswa marafiki zangu. Hata watoto nilikuwa nawasuka kwa gharama zangu mie. Mtauliza hela nilikuwa napata wapi. Nilipoachana na mme wangu nilirudi home wakat huo wazazi wapo hai. Walinilea ndo nikawapa my idea wakaikubali.. hatimaye nikaanza kujua na kujua zaid hadi kuwatoza watu hela.. nikawa naweka akiba nikijua kids wananingoja niwaleee bila.msaada wa wazazi.
Nilipata hela ndogo sana nilikuwa nasukia home niliweka tangazo njian kuhusu msusi anapatikana hapa wa mitindo yote.
Nilipopata laki moja nikaanza agiza mkaa nikawa napiga mbili kwa moja mkaa napima wa kuuxa. Now sina wazazi but najutegemea mwanangu yupo boarding nasomesha bika msaada wa mtu yoyote yule wengine mmoja ameanxa kazi na mdogo yupo day ila international school. Nauza mkaa wala sioni haya bali natafuta pesa. Now nimeanxa kujenga nataka kutoka ktk.nyumba ya wazazi. Pia nipo kuweka ofis ya saloon huko nijengapo house na ofic ya mkaa... Nikiwa ktk mkaa sivai nguo chafu noo. Navaa nguo xa kazi kama.niko ofisin nana weavingand pia because napenda kaxi yangu sana.
NDUGU ZANGU MSICHAGUE KAZI DUNIA YA SASA. ASANTENI.

Nimekupenda bure dada yang. Mungu azidi kukubariki
 
Kwanza nianze kusema mm ni mama wa watoto watatu. Nilianza kujitegemea nilipo achana na baba watoto wangu ktk mambo fulani..
Nakuja ktk mada yenyewe. Nilikuwa golikipa but akili.ilisimama pale nilipo kuwa separated ktk ndoa na.mme wangu.. nikaingia ktk kujifunza kusuka nywele za mkono bureee kabisa namwita mtu namsuka hadi kufikia kusuka rasta, weaving, kushona wigs, na kusuka kimasai yote hayo nilikuwa nanunua rasta namwita mtu haswa marafiki zangu. Hata watoto nilikuwa nawasuka kwa gharama zangu mie. Mtauliza hela nilikuwa napata wapi. Nilipoachana na mme wangu nilirudi home wakat huo wazazi wapo hai. Walinilea ndo nikawapa my idea wakaikubali.. hatimaye nikaanza kujua na kujua zaid hadi kuwatoza watu hela.. nikawa naweka akiba nikijua kids wananingoja niwaleee bila.msaada wa wazazi.
Nilipata hela ndogo sana nilikuwa nasukia home niliweka tangazo njian kuhusu msusi anapatikana hapa wa mitindo yote.
Nilipopata laki moja nikaanza agiza mkaa nikawa napiga mbili kwa moja mkaa napima wa kuuxa. Now sina wazazi but najutegemea mwanangu yupo boarding nasomesha bika msaada wa mtu yoyote yule wengine mmoja ameanxa kazi na mdogo yupo day ila international school. Nauza mkaa wala sioni haya bali natafuta pesa. Now nimeanxa kujenga nataka kutoka ktk.nyumba ya wazazi. Pia nipo kuweka ofis ya saloon huko nijengapo house na ofic ya mkaa... Nikiwa ktk mkaa sivai nguo chafu noo. Navaa nguo xa kazi kama.niko ofisin nana weavingand pia because napenda kaxi yangu sana.
NDUGU ZANGU MSICHAGUE KAZI DUNIA YA SASA. ASANTENI.
[emoji109][emoji109][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nianze kusema mm ni mama wa watoto watatu. Nilianza kujitegemea nilipo achana na baba watoto wangu ktk mambo fulani..
Nakuja ktk mada yenyewe. Nilikuwa golikipa but akili.ilisimama pale nilipo kuwa separated ktk ndoa na.mme wangu.. nikaingia ktk kujifunza kusuka nywele za mkono bureee kabisa namwita mtu namsuka hadi kufikia kusuka rasta, weaving, kushona wigs, na kusuka kimasai yote hayo nilikuwa nanunua rasta namwita mtu haswa marafiki zangu. Hata watoto nilikuwa nawasuka kwa gharama zangu mie. Mtauliza hela nilikuwa napata wapi. Nilipoachana na mme wangu nilirudi home wakat huo wazazi wapo hai. Walinilea ndo nikawapa my idea wakaikubali.. hatimaye nikaanza kujua na kujua zaid hadi kuwatoza watu hela.. nikawa naweka akiba nikijua kids wananingoja niwaleee bila.msaada wa wazazi.
Nilipata hela ndogo sana nilikuwa nasukia home niliweka tangazo njian kuhusu msusi anapatikana hapa wa mitindo yote.
Nilipopata laki moja nikaanza agiza mkaa nikawa napiga mbili kwa moja mkaa napima wa kuuxa. Now sina wazazi but najutegemea mwanangu yupo boarding nasomesha bika msaada wa mtu yoyote yule wengine mmoja ameanxa kazi na mdogo yupo day ila international school. Nauza mkaa wala sioni haya bali natafuta pesa. Now nimeanxa kujenga nataka kutoka ktk.nyumba ya wazazi. Pia nipo kuweka ofis ya saloon huko nijengapo house na ofic ya mkaa... Nikiwa ktk mkaa sivai nguo chafu noo. Navaa nguo xa kazi kama.niko ofisin nana weavingand pia because napenda kaxi yangu sana.
NDUGU ZANGU MSICHAGUE KAZI DUNIA YA SASA. ASANTENI.
Daaah uko vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiajiri ni mindset bro. Kuna mtu anaweza pesa 7000 aka make profit. Their many opportunities u just need to closely examine that particular oppotunity
 
Back
Top Bottom