Recent content by london1

  1. L

    Hakuna haja ya kuandika Wosia kama Mahakama inaubatilisha

    Ulichokiandika hakina uhalisia wa maisha na ndo mawazo haya yanaleta matatizo nchi nyingi za ki maskini.Kama mtu mwenye mali kaamua kuoa mwenye umri mdogo kuliko yeye na AKENDA KWA MWANASHERIA,na kumuandikia urithi wa mali zote huyo mpenzi wake,wengine inawahusu nin.Mambo ya kuandika urithi ni...
  2. L

    Legacy ya Samia Suluhu Hassan ni ipi?

    Legacy wa urais wake? Kwani kawa rais mda gani??l Legacy haijengwi kwa mwaka au miaka 2/3, ni life time achievement! Nahis wewe na wanao comment hamjui maana ya legacy.
  3. L

    Aisee BBC ni waongo hakuna wanajeshi wa Ukraine waliofika mpaka wa Urusi

    Kwa hiyo unaita moja ya mashirika makubwa ya habari ulimwenguni waongo,lakini unaamini video inayotambaa mitandaoni ambayo hujui hata chanzo chake na nani karekodi!?!,
  4. L

    Nikipata Uraia wa nchi nyingine utaathiri u-Tanzania wangu?

    Tanzania hairuhusu uraia pacha,ivo kwa tafsiri yao (Republic of Tanzania) ukichukua uraia wa nchi nyingine unakuwa umeukana uraia wa Tanzania,hata kama ulipoomba huo uraia wa nchi nyingine huko ulipo hujaukana uraia wa Tanzania.
  5. L

    Mahusiano na wazungu ni kitanzi

    Wazungu ndo ivo ukipendana nao utanzani mapenzi hayataisha leo wala kesho.Nakumbuka bint mmoja wa kizungu,tumekutana nilipopita kijijin kwao nikamchukua na kumleta mjini,miaka minne na yule bint,christmass,easter naenda kwa wakwe,nikajua haya ndo maisha. Siku alositisha mahusiano...
  6. L

    Uingereza yaingia makubaliano na Finland na Sweden endapo nchi hizo zikishambuliwa Uingereza itaingilia moja kwa moja

    Hakuna sehemu kwenye walioandika muingereza alipigwa na Argentine,walichoandika ni msaada wa kiitelinjesia ambao walimpa muingereza kupitia saralaiti zao nk.Hii ni kawaida kwa nchi zenye mahusiano mazuri kijeshi,kumbuka hizi nchi zinategemeana kwenye mambo mengi,kudhoofika kwa uingereza...
  7. L

    Uingereza yaingia makubaliano na Finland na Sweden endapo nchi hizo zikishambuliwa Uingereza itaingilia moja kwa moja

    Muingereza hajawahi kupigwa na mu argentina kaka umepata wapi taarifa hizo?,mpaka leo hii visiwa vya falklands ni mali ya uingereza,vita vilivyotokea miaka ya nyuma kugombania hiv visiwa argentina ilishindwa. Muingereza wapo ulaya wanamilik visiwa vilipo jirani na argentina,hapo bado kuna...
  8. L

    Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

    Kama hujui wazungu wanafanya sana hiv, hao waingereza unaowasema makamu wa waziri mkuu(John prescot) miaka iliyopita alishawahi kupigwa na yai hadharani na ashawahi pia kumwagiwa maji yote hii watu kuonyesha kuchukizwa na mambo flani.Na huyu jamaa cheo chake ni sawa na makamu wa rais,sema wao...
  9. L

    Watanzania 38 waukana uraia wa Tanzania

    Mmh kwa uingereza hao mbona wachache sana,nnaowajua binafsi wanazidi kumi,tena hapo sijawahesabu wale waliojiripua.
  10. L

    Huyu Issa Bin Mariamu ni nani? Uhusika wake ukoje?

    Ivi unajua wayahudi hawamtambui yesu na wayahudi sio wakristo,wala hawaamini kuwa ni mesiah,wala hawamini kuwa alikufa na akafufuka kama wakristo wanavoamin.Kwa ufupi katika vitabu vya wayahudi yesu hatajwi.Ushawasoma wayahudi wanachoandika kuhusu Bikra Maria? Kwa ufupi hawaamini wakristo...
  11. L

    Kama Waingereza na Wajerumani walitutawala inakuwaje hatuna mchanganyiko wa rangi na hao wazungu kama Wazanzibar

    Unaishi dunia gani kaka,labda unazungumzia waarabu wa shinyanga,ushafika Dubai,Oman au Qatar? hizo sehemu hazifanani na unayoandika,hafifu ki fikra?,kisayansi!?
  12. L

    Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

    Duh! Aisee we kweli kidindamahaha! Karibia binamu wako wote[emoji1787][emoji1787]
  13. L

    Malkia Elizabeth na Viongozi wa TAA, 1953

    Pamoja,hujawahi kutuangusha
  14. L

    Mimi ni mtaalamu wa kilimo, natafuta mtu mwenye mtaji (fedha) ili tuwekeze kwenye kilimo mkoani Katavi

    Kaka maelezo yako yanavutia lakini hujazungumzia sana kuhusu soko la hayo mazao ukishalima,wapi unategemea kwenda kuuuza?,gharama zake kama utabidi usafirishe usafiri ukoje mpaka ufike sokoni pamoja na uhakika wa uuzaji hayo mazao.unaweza kufafanua kidogo ndungu yangu.
  15. L

    Putin; Maadui zetu mjifikirie mara mbili kwa hili bomu

    Technology ndo nnachoongelea sio suit na nguo za kinamama kutoka uturuki.Technology wanaianzisha mataifa ya magharibi wengine ndo wanakuja kuiendeleza,nchi unazoziita tepe tepe ndo zina utajir kuliko hizo unazoziamin.
Back
Top Bottom