Ulichokiandika hakina uhalisia wa maisha na ndo mawazo haya yanaleta matatizo nchi nyingi za ki maskini.Kama mtu mwenye mali kaamua kuoa mwenye umri mdogo kuliko yeye na AKENDA KWA MWANASHERIA,na kumuandikia urithi wa mali zote huyo mpenzi wake,wengine inawahusu nin.Mambo ya kuandika urithi ni...
Legacy wa urais wake? Kwani kawa rais mda gani??l
Legacy haijengwi kwa mwaka au miaka 2/3, ni life time achievement! Nahis wewe na wanao comment hamjui maana ya legacy.
Kwa hiyo unaita moja ya mashirika makubwa ya habari ulimwenguni waongo,lakini unaamini video inayotambaa mitandaoni ambayo hujui hata chanzo chake na nani karekodi!?!,
Tanzania hairuhusu uraia pacha,ivo kwa tafsiri yao (Republic of Tanzania) ukichukua uraia wa nchi nyingine unakuwa umeukana uraia wa Tanzania,hata kama ulipoomba huo uraia wa nchi nyingine huko ulipo hujaukana uraia wa Tanzania.
Wazungu ndo ivo ukipendana nao utanzani mapenzi hayataisha leo wala kesho.Nakumbuka bint mmoja wa kizungu,tumekutana nilipopita kijijin kwao nikamchukua na kumleta mjini,miaka minne na yule bint,christmass,easter naenda kwa wakwe,nikajua haya ndo maisha. Siku alositisha mahusiano...
Hakuna sehemu kwenye walioandika muingereza alipigwa na Argentine,walichoandika ni msaada wa kiitelinjesia ambao walimpa muingereza kupitia saralaiti zao nk.Hii ni kawaida kwa nchi zenye mahusiano mazuri kijeshi,kumbuka hizi nchi zinategemeana kwenye mambo mengi,kudhoofika kwa uingereza...
Muingereza hajawahi kupigwa na mu argentina kaka umepata wapi taarifa hizo?,mpaka leo hii visiwa vya falklands ni mali ya uingereza,vita vilivyotokea miaka ya nyuma kugombania hiv visiwa argentina ilishindwa. Muingereza wapo ulaya wanamilik visiwa vilipo jirani na argentina,hapo bado kuna...
Kama hujui wazungu wanafanya sana hiv, hao waingereza unaowasema makamu wa waziri mkuu(John prescot) miaka iliyopita alishawahi kupigwa na yai hadharani na ashawahi pia kumwagiwa maji yote hii watu kuonyesha kuchukizwa na mambo flani.Na huyu jamaa cheo chake ni sawa na makamu wa rais,sema wao...
Ivi unajua wayahudi hawamtambui yesu na wayahudi sio wakristo,wala hawaamini kuwa ni mesiah,wala hawamini kuwa alikufa na akafufuka kama wakristo wanavoamin.Kwa ufupi katika vitabu vya wayahudi yesu hatajwi.Ushawasoma wayahudi wanachoandika kuhusu Bikra Maria? Kwa ufupi hawaamini wakristo...
Unaishi dunia gani kaka,labda unazungumzia waarabu wa shinyanga,ushafika Dubai,Oman au Qatar? hizo sehemu hazifanani na unayoandika,hafifu ki fikra?,kisayansi!?
Kaka maelezo yako yanavutia lakini hujazungumzia sana kuhusu soko la hayo mazao ukishalima,wapi unategemea kwenda kuuuza?,gharama zake kama utabidi usafirishe usafiri ukoje mpaka ufike sokoni pamoja na uhakika wa uuzaji hayo mazao.unaweza kufafanua kidogo ndungu yangu.
Technology ndo nnachoongelea sio suit na nguo za kinamama kutoka uturuki.Technology wanaianzisha mataifa ya magharibi wengine ndo wanakuja kuiendeleza,nchi unazoziita tepe tepe ndo zina utajir kuliko hizo unazoziamin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.