Ana legacy kama zote..
1.Kajenga na kukamilisha sgr zote ,
2.Kaleta mapinduzi kwenye sekta ya Afya kwa kujenga majengo ya huduma za dharura Nchi nzima,kajenga vituo vya afya zaidi ya 230,Anajenga hospital ya Kanda ya Magharibi,anajenga Hospital ya Kitaifa ya Kina mama Dom,anajenga na kukamilisha hospital zote zilizokuwa zinasua sua ikiwemo Chato..nk nk.
3.Kaleta mapinduzi ya mageuzi makubwa kwenye elimu.Anabadiki mitaala yote,amejenga na anajenga Madara hakuna watoto kuingia shule kwa mafungu,anajenga veta zaidi ya 60 mikoa na Wilaya zote ambazo hazina,anapanua elimu ya Juu kwa kuhakikisha kila mkoa unakuwa na Kampasi ya chuo Kikuu,anajenga shule maalumu za mabinti kila mkoa nk nk.,
4.Amefanya mapinduzi ya kilimo kutoka kuwa cha kujikimu hadi kuwa cha kibiashara,kwa kuongeza bajeti ya kilimo kutoka bil.294 hadi bil.954,ameanzisha kilimo cha umwagiliaji kwa kutenga zaidi ya bil.360,amefungua kilimo kuwa cha biashara kwamba hadi sasa zao la mpunga/mchele ni zao kuu la biashara.nk nk,
5.Ameleta mapinduzi ya biashara na uwekezaji Nchini..Ameongeza mauzo ya Nje kutoka Til.8 hadi Til.10 kwa mwaka mmja,Ameongeza uwekezaji kutoka dola bil.1 hadi dola bil.8 ndani ya mwaka mmja..
Ukitaka niongeze legacy niambie maana ni nyingi sana