Mdadaa unajidanganya sana, huwajui wanaume walivyo, huyo mwanamume mpya uliye mpata usidhani kuwa anakupenda kivile, naamini lazima ujute mbele ya safari. Msaada wa bure nenda kanunue na usome kitabu cha Wajue adui zako kuwa makini na marafiki cha Iyke Nathan Uzorma. Ukisoma kitabu hicho...
Pole sana sister kwa yaliyokukuta. kwa kutumia akili ya kawaida kuujua moyo wa mtu na nini alicho kificha ndani yake huwa mara nyingine ni kazi sana lakini kwa kufunga nakuomba roho wa Mungu atakupa majibu yaliyo sahihi. Naomba katafute kitabu cha WAJUE ADUI ZAKO KUWA MAKINI NA MARAFIKI mtunzi...
Bado sielewi ni kwanini baadhi ya wanaume wanajawa na hofu sana wakati wa kumtongoza mdada kwa mala ya kwanza. hofu yako ndio kushidwa kwako. hakuna haja ya kujawa na hofu mambo ni rahisi usipokuwa na hofu.
Pole sana mkuu, chukua karanga mbichi punje kama punje 20 hivi, nunua vidonge 10 vya indocid, weka karanga kwemye sahani fumua vidonge vyote weka unga tu wa hiyo dawa kwenye karanga chukua maji kijiko cha chai weka kwenye karanga changanya ilidawa ingie barabara kwenye karanga. weka hiyo sahani...
Hapo zamani vijana kuzamia kwenye harusi ilikuwa ujanja
Hapo zamani sabuni yakufulia maalufu ilikuwa inaitwa Mbuni
Hopo zamani usafiri ni UDA tu kabla ya daladala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.