mtaa wa legeza mwendo Tabora, Songea
Nakapanya, Nanguruwe majina ya vijiji vya tunduru
Mwitongo - Butiama,
uporoto, kinampanda, udzungwa, kinole, uzini, londoni, lizaboni,
Mkuu ni "Mto Mbwemkulu"
Nakumbuka sekondari moja maarufu wilaya ya Kisarawe enzi hizo St. Andrews College alikuwapo kijana mkakamavu wa Skauti akiitwa Onea Siogopi Sitombeki. Tido Mhando ni shahidi walikuwa wote
bweni la St. lukes. Unamkumbuka Mhe. Chomeka wa jimbo la Uzini?
Mtombe mkulu