peoples power
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 475
- 100
nataman kusingekuwa na kula. nachoka kula mie
Umeshiba wewe!unafanya masihara na njaa nini?
nataman kusingekuwa na kula. nachoka kula mie
Natamani kujua WAHEED SUDAY ni demu au.........?
natamani kila demu ninatemsaundisha akubali!!!
natamani uchungu wa kujifungua unaompata mwanamke umpate mwanaume aliye mpa mimba, na mwanamke ajifunguwe bila maumivu yoyote.