Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,380
Hii nimeipenda. Na mimi nongezea
Iwapo unatafuna big g wakati unakata vitunguu, kamwe hutatokwa na machozi
mh hadi nijaribu
Hii nimeipenda. Na mimi nongezea
Iwapo unatafuna big g wakati unakata vitunguu, kamwe hutatokwa na machozi
Mkuu rudi tena kashauriane na mwalimu wako wa jiografia.MAJI YA MTO NILE YANATOKA ZIWA VICTORIA NA KUMWAGA MEDITERRANEAN SEA, NA SIYO TU KUTOCHANGANYIKA, BALI MAJI YA MTO NILE NI MAJI HALISI YA ZIWA VICTORIA. Na kamwe mto Nile haukatizi Ziwa Victoria bali Unatoka ziwa victoria! Daka hiyo itakusaidia wewee...!!!
Mkuu rudi tena kashauriane na mwalimu wako wa jiografia.MAJI YA MTO NILE YANATOKA ZIWA VICTORIA NA KUMWAGA MEDITERRANEAN SEA, NA SIYO TU KUTOCHANGANYIKA, BALI MAJI YA MTO NILE NI MAJI HALISI YA ZIWA VICTORIA. Na kamwe mto Nile haukatizi Ziwa Victoria bali Unatoka ziwa victoria! Daka hiyo itakusaidia wewee...!!!
Ni lazima macho yawe wazi kwa sababu kileleni mtelemko(slope) ni mkali mno, so ukifumba macho waweza teleza, kuang uka na hata kufa kabisa endapo utabiringita mpaka chini!
Duma (Ocnonyx jibatus) ndie mnyama mwenye mwendo kasi zaidi duniani 120km/h(75mph), wakati Kobe ndie mnyama mwenye mwendo mdogo zaidi kuliko wote duniani....!!
Mmh,Kinyonga je!?