Eti alipewa kabinti ka shule kam-kampani!

mimi nimesikia Lindi hiyo tabia ipo ingawa sina uhakika

na vile vile nimesikia Msumbiji na Madagascar pia hiyo tabia hipo..

sasa sijui connection yake

kuna mtu alienda Mozambique

kufika kule akashangaa kama una mpenzi wako ni mwanafunzi
hata kama yuko 16 au 17
unaenda shuleni unaingia hadi darasani na kumuomba mwalimu akutolee mpenzi wako muongee nje
mnapanga miadi yenu halafu mwanafunzi anarudi darasani na wewe unaondoka zako

pata picha hapo..

Duuu, jamani kama hali ni hii, basi viwango vya elimu vitaendelea kushuka kila siku, na UKIMWI utatutafuna mpaka basi ....
 
hv angekuwa mtoto wake anafanyiwa hivi angekubali? pumbaf tabia kama hiz za kifatak hazikubaliki
 
Hili siyo lindi tu jamani,kapange uswazi Dar halafu uwe haujaoa!Kwa ujumla tumemsahau mungu!Nimeshasikia habari kama hizo mikoa mbalimbali tu hapa Bongo!!
 
Ingawaje inasikitisha lakini Mila na dasturi za makabila mengine zahusika. Nenda Palma, Nangadi, Pemba, Lishinga na Isla de Mocambique. Sijui lindi, Mtwara na Tunduru. Kama umewahi kusafiri sehemu kama hizi utaona makubwa zaidi ya hayo. Na mila huwezi kuibadili. Ama komaa nao au wacha tu.

IF YOU CANT BEAT THEM JOIN THEM
 
Ingawaje inasikitisha lakini Mila na dasturi za makabila mengine zahusika. Nenda Palma, Nangadi, Pemba, Lishinga na Isla de Mocambique. Sijui lindi, Mtwara na Tunduru. Kama umewahi kusafiri sehemu kama hizi utaona makubwa zaidi ya hayo. Na mila huwezi kuibadili. Ama komaa nao au wacha tu.

IF YOU CANT BEAT THEM JOIN THEM

Unamaanisha (hapo kwenye bold) kumbe kwa huko lindi hii inaweza kuwa Mila na desturi??
 
Kwa nini huyo jamaa asimle mama mwenyewe kuliko kuanza kukomaza mtoto wa mwanaume mwenzie bila huruma.
 
Msemo maarufu ukanda huo..............Bwana wewe,.......kumnyima mwenzio kitu unacho, dhambi,.........kwani umepewa buure.
 
Haya ndo nayasikia leo ingawaje sichelei kusema ni uongo wa kupindukia. hapa sikatai aliyoyafanya huyo mama, lakini nakataa kwamba ndio tabia ya watu wa Lindi....huyo mama ni njaa zake tu ndizo zilikuwa zinamsumbua na hali kama hiyo ipo almost everywhere ndani ya nchi hii!!! Kwanza mto mada inaelekea ameongeza chumvi....kama kukosa sehemu za kula au nyumba za wageni basi bila shaka alienda vijijini na vijiji vyote tanzania hii vipo hivyo!!! lakini mijini, au hata kwenye miji midogo na vijiji vikubwa ni uongo uliovuka mpaka kusema kwamba hamna sehemu za kununua msosi!
 
Back
Top Bottom