Recent content by Lol Sanaa

  1. L

    Maajabu ya uzinzi haya hapa

    Haaa haaa lol nimecheka sana, anvyosimulia kwa hisia inaonekana imemkuta
  2. L

    Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

    Yaani huyo mkeo ni katili alafu hataki kujiongea, naungana na nomonomi, wanawake tujitambua na tuwe na busara ya hali ya juu katika kusolve issues, amenikera huyo mkeo na nakuonea huruma sana, maana mmeumbwa kuchepuka kwa staili hiyo mtawabaka wangapi?
  3. L

    Niusaidiaje mchepuko utulie na mkewe?

    My dear cha msingi kama humtaki kweli ukiamua utaweza tu though ni ngumu sana, ila wanaume wajanja sana, hawawezi kuishi bila michepuko, usikubali akutumie, anafanya maendeleo na mkewe kwako anakuja kukumwagia tu, hiyo noooo..labda kama anakusuppoort kimaendeleo unaweza kum-consider if not...
  4. L

    Mwanaume anapodanganywa na msichana

    Haaaaaaaaaaaaa nimecheka sana zote hizo, lol ila wanaume mmezidi mmnajua ss ke, especially tunaopenda uchesi tunaeleweka visivyo, ila nilichojifunza hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke kabisa, kila rafiki wa kawaida wa kiume alinigeukia mwisho wa siku tunapoteza urafiki wote Ilinitokea kwa...
  5. L

    Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

    Mgeuzie kibao kuwa yy ndo malaya wa kutongoza wanaume, na mwambie huwezi kumuoa mdada muongo kama yeye, si busara njia aliyotumia
  6. L

    Mwanaume kuwa na mwanamke mmoja

    Daah leo nimeelewa sana why wanaume Wanachepuka, nawapongeza kwa uwazi wenu, kwa somo hili binafsi litanisaidia kuboresha kuliko kuendelea kupingana na uhalisia kutaka Me awe perfect kwa 100%
  7. L

    Hatimaye mchepuko sasa kuwa njia yangu kuu

    Lol tunashauriana, sio jazba, hata yesu alikula na yule ....malizia
  8. L

    Wadada wa JamiiForums especially MMU naomba mfunguke na wakaka si vibaya kutoa experience zenu

    Anaweza akakung'ang'ania ktk pozi mlilopo na anaweza kukwambia hapohapo, ongeza...au punguza,na spidi balaa then spidi inapungua jasho fulani lazima hata kuwe na baridi la njombe...
  9. L

    Msaada: Nifanyeje niache uzinzi?

    Kweli hili jukwaa kuna Ma great thinker,amesema fact kwa tulio elewa
  10. L

    Ni halali mume na mke kuangalia sinema za ngono pamoja?

    haaaa haaaa Weee ajifiche wapi, tunabanana hapo hapo
Back
Top Bottom