Yaani huyo mkeo ni katili alafu hataki kujiongea, naungana na nomonomi, wanawake tujitambua na tuwe na busara ya hali ya juu katika kusolve issues, amenikera huyo mkeo na nakuonea huruma sana, maana mmeumbwa kuchepuka kwa staili hiyo mtawabaka wangapi?
My dear cha msingi kama humtaki kweli ukiamua utaweza tu though ni ngumu sana, ila wanaume wajanja sana, hawawezi kuishi bila michepuko, usikubali akutumie, anafanya maendeleo na mkewe kwako anakuja kukumwagia tu, hiyo noooo..labda kama anakusuppoort kimaendeleo unaweza kum-consider if not...
Haaaaaaaaaaaaa nimecheka sana zote hizo, lol ila wanaume mmezidi mmnajua ss ke, especially tunaopenda uchesi tunaeleweka visivyo, ila nilichojifunza hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke kabisa, kila rafiki wa kawaida wa kiume alinigeukia mwisho wa siku tunapoteza urafiki wote
Ilinitokea kwa...
Daah leo nimeelewa sana why wanaume Wanachepuka, nawapongeza kwa uwazi wenu, kwa somo hili binafsi litanisaidia kuboresha kuliko kuendelea kupingana na uhalisia kutaka Me awe perfect kwa 100%
Anaweza akakung'ang'ania ktk pozi mlilopo na anaweza kukwambia hapohapo, ongeza...au punguza,na spidi balaa then spidi inapungua jasho fulani lazima hata kuwe na baridi la njombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.