My dear cha msingi kama humtaki kweli ukiamua utaweza tu though ni ngumu sana, ila wanaume wajanja sana, hawawezi kuishi bila michepuko, usikubali akutumie, anafanya maendeleo na mkewe kwako anakuja kukumwagia tu, hiyo noooo..labda kama anakusuppoort kimaendeleo unaweza kum-consider if not...