Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Ngoja wanaume waje!
Treat me like a Queen I will treat you like a King. Sio wataka ufalme wakati mwenendo wako wa kilala hoi. Natamani mume Wangu angekuwa na tabia nzuri yaani ningemlamba hadi miguu. Lakini fikiri mtu unamnyo.nya kunako..... kesho wasikia anawatu kibao kweli utaendelea, pili umeyajua hayo yote anataka pia akukute umefurahi hivi Mimi in tahira? Ndo utasikia wanawake wako moody.
hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja hata PAPA wa vatican atakua alishamega mahali!
Jamani hivi nini kinachangia wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya mwanamke mmoja.
maoni yenu tafadhali yaweza saidia kujua wanawake tunakosea wapi.
Maoni yenu tafadhali.
Naturally, all male organisms are polygamists. Iwe Jogoo, Fahari au binadamu, lazima atapenda kuwa na majike/wanawake wengi. Ustaarabu wa kibinadamu pamoja na mambo ya dini na sheria mbalimbali ndizo zinazolazimisha mwanaume asifanye kama wanyama wengine. Hata hivyo KUTORIDHISWA/KUTOFURAHISHWA na mwanamke mmoja kunaweza kupelekea mwanaume atafute mtu mwinginge atakayemfurahisha/ridhisha. Ukumbuke kuwa kufurahisha huko sio tu katika masuala ya ngono bali pia KUWEPO KWA AMANI, KUKOSEKANA kwa KERO, GUBU n.k. Kama suala la ngono lipo poa, na uhusiano umejaa Upendo na amani, na mwanamke huyo hana KERO za ovyo, mwanaume anaweza kukaa na mwanamke mmoja kwa muda mrefu.
Inaniuma kusema sisi ke' tupo wengi than me'...but dic isn't a solution kwamba me ashnidwe kuwa na mpenzi/mke mmoja basi tuu ndo hulka yao hiyo most of them!!!
Secrecy hiyo populatipn ratio si sahihi. Dunia is almost balanced. Hapa kinachosababisha ni ukweli wa kisayansi. Mwanamke husikia hamu kwa kalenda maalum wakati mwanaume ni kwa kuona au kukumbuka au kuwaza na hmchukua sekunde 8 kuwa tayari kwa kazi. Hamu ya males inadhibitika wakati ya females inaweza hata kuleta matatizo ya akili. Kama wote tutafanya kwa kusikia hamu na uwezo wetu kudhibiti hali zetu sijui ingekuwaje. Huwa nawaangalia farasi females wakiwa heat anavyohangaikasipati picha kwa wanadamu wanavyougulia ndani kwa ndani wanakuwa wakali kwenye daladalaInaniuma kusema sisi ke' tupo wengi than me'...but dic isn't a solution kwamba me ashnidwe kuwa na mpenzi/mke mmoja basi tuu ndo hulka yao hiyo most of them!!!
Secrecy hiyo populatipn ratio si sahihi. Dunia is almost balanced. Hapa kinachosababisha ni ukweli wa kisayansi. Mwanamke husikia hamu kwa kalenda maalum wakati mwanaume ni kwa kuona au kukumbuka au kuwaza na hmchukua sekunde 8 kuwa tayari kwa kazi. Hamu ya males inadhibitika wakati ya females inaweza hata kuleta matatizo ya akili. Kama wote tutafanya kwa kusikia hamu na uwezo wetu kudhibiti hali zetu sijui ingekuwaje. Huwa nawaangalia farasi females wakiwa heat anavyohangaikasipati picha kwa wanadamu wanavyougulia ndani kwa ndani wanakuwa wakali kwenye daladala
hahaah i like you umekua mkweli.. Allow me to call you light city and not dark anymore.ni tatizo la kibaolojia zaidi. Kwa mfano dume moja la ng'ombe linatakiwa kuhudumia majike tofauti 20-25!
Ila inawezekana kutulia na mmoja tu ingawa ni maisha ya mateso na kujinyima sana. Naamini ni wachache sana wanaoweza kusimama mbele ya umma na kunyoosha mkono kwamba wameweza kumudu hiyo aina ya useja katika maisha yao yote!! I wish i could!
secrecy hiyo populatipn ratio si sahihi. Dunia is almost balanced. Hapa kinachosababisha ni ukweli wa kisayansi. Mwanamke husikia hamu kwa kalenda maalum wakati mwanaume ni kwa kuona au kukumbuka au kuwaza na hmchukua sekunde 8 kuwa tayari kwa kazi. Hamu ya males inadhibitika wakati ya females inaweza hata kuleta matatizo ya akili. Kama wote tutafanya kwa kusikia hamu na uwezo wetu kudhibiti hali zetu sijui ingekuwaje. Huwa nawaangalia farasi females wakiwa heat anavyohangaikasipati picha kwa wanadamu wanavyougulia ndani kwa ndani wanakuwa wakali kwenye daladala
jamani hivi nini kinachangia wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya mwanamke mmoja.
Maoni yenu tafadhali yaweza saidia kujua wanawake tunakosea wapi.
maoni yenu tafadhali.
hahaah i like you umekua mkweli.. Allow me to call you light city and not dark anymore.
Binafsi niliweza kujizuia kuwa na mpenz m1 niliyempenda sana na ckuwah kumcheat kwa miaka miwil japo nilipata wkt mgumu sana kwan nilijinyima vngi vzur kuogopa kumuumiza na kujiumiza mwenyew kihisia..mwishowe yeye ndo akanicheat tena baada ya kumfuma mm ndo niliambiwa nakiherehere kwnn nafatalia mambo yasiyonihusu! Inshort naweza sana kuwa na mwanamke m1 na nikaridhika ila mpk roho mtakatifu anidhibitishie na yeye yupo na mm 2