MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
nimecheka sana aisee hahahah
Nikionaga kwapa tu nimekamatika... ila jeusi hapana kabisa...
Uzi wako huu,leo umetingwa weweKuna desturi inayoaminika na kujengeka katika mahusiano kwamba wanaume ni wepesi sana wa kuwasilisha hoja na dhamira zao juu ya uhitaji wao pale wanapotaka kufanya mapenzi, kuliko wanawake.(ni wanawake wachache sana wenye ujasili kama huo.
Hata hivyo wanawake wana mbinu za kimatendo zinazoambatana na mahaba yenye hisia kali ili kuwakilisha dhamira yao kwa kile wanachokihataji katika swala la mapenzi.
Kwa utafiti nilioufanya kwa kuhojiana na wanawake, huwanga wanaumia sana na kutumia mda mwingi wa kufikiri na kuunda mikakati sitahiki kwa ajili ya kumunasa yule anayempenda hasa ambaye hajawahi kufanya naye tendo.
Kiukweli wanaume tonatofautina sana(kwa hapa kila mwanaume JamiiForums utasaidie udhaifu wake kuhusu kunaswa na mwanamke kimahaba).
Pamoja na yote hayo kuna binu inayoweza kumnasa kimahaba mwanume yoyote unayemhitaji, kwa kumtizama kwa jicho la kimahaba huku ukipapasa tumbo lako kuelekea sehemu ya kitovu, huku ukifunua nguo uliyoivaa kwa umbali unaweza ukamwambia unajisikia kuwasha kwa lugha ya uchokozi.
Mie ukinifunulia Paja hata sishituki maana nishazoea yaona daily na vinguo vyenu vifupi mnavyotupia. Mie nionyeshe live hilo tundu la huzuni ndio kidogo utanihamasisha
Kuna gap kubwa sana kati ya mawazo na fikra...
Mkimaanisha nini please?gap of knowledge