Well said!! umemaliza na umewagusa wengi
Kweli hili jukwaa kuna Ma great thinker,amesema fact kwa tulio elewa
Well said!! umemaliza na umewagusa wengi
Mwambie mkeo hiyo tabia yako na muhakikiahie unataka kuaicha aongee na hao wanawake zako
Ungekuwa mwanamke ungeshutumiwa sana na hata kuuitwa malaya au maji mara moja au harage la mbeya. Ila kwa kuwa ni mwanaume noana unashauriwa kiupole. Hizo ni tamaa na roho ya uzinzi au kwa lugha stahiki ni umalaya. Acha kupokea simu zao wala kujibu ujumbe. Tafuta njia za kuwakorofisha ili wakuchukie na kuachana na wewe.
Yesu Kristo ndiye jibu la matatizo yake,Kuna documentary kwenye youtube imeandaliwa na BBC inaitwa the science of lust. Itafute uiangalie huenda itaweza kukupa mchango!
We hunishindi mimi kwa uzinzi. Mpaka sasa siikumbiki idadi ya michepuko yangu. Wengine nakuta namba za simu kwenye simu yangu ila siwakumbuki mpaka nikutane nao ndo nawakumbika. Na kushauri tuendeleze kuwachapa tu
Yesu Kristo ndiye jibu la matatizo yake,