Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

i dont want to see this post

  • i dont to see this post

    Votes: 0 0.0%
  • i dont want to see this post

    Votes: 2 100.0%

  • Total voters
    2
  • Poll closed .
unapanga kwenda gesti demu hujamjua yupoje utakuta ni dadako utafanya nini sasa...
 
Nimekubali ili yaishe, lakini bado ana hasira, tatzo jingine anaomba nimtumie hela ya hospt akatibiwe, nimempa, ila ndo bado hataki kusamehe,
 
Mwenza wako hata akikukamata red handed mwanbie tu "its not me"
 
Mgeuzie kibao kuwa yy ndo malaya wa kutongoza wanaume, na mwambie huwezi kumuoa mdada muongo kama yeye, si busara njia aliyotumia
 
sumu haijaribiwi jamani
sithubutu htt...!!!
aunt yangu alijaribu kwa mmewe kilichomkuta...!!
 
Kweli nimefeli mtihani mdogo sana, na ilikuwa mwezi wa 3 nikalipe mahali, najuta sana, najaribu kumuomba msamaha anisamehe tu kibinadamu nimekosea, ye bado hataki kukubali anataka tuachane, kiukweli imenipa funzo kubwa sana na akikubali kunisamehe mi ctarudia hata
Acha upuuzi msamaha unaomba wanini, mie sikutaka kuchangia lakini imebidi nichangie maana naona unajilaumu kwa wakati mwanamke mwenyewe moja ni malaya aliyekubuhu (kumtongoza mwanaume kwa siku3...), pili alikuwa anatafuta sababu ya kuachana nawe kwa nguvu (ukilazimisha huyu atakupa shida sana kwenye ndoa), tatu ukiona mwanamke anaonyesha kutokukuamini mapema hivi hili ni balaa maana ndoa yenyewe haina maana, mwisho naushauri mdogo wangu siku nyingine ukitongozwa kwenye simu au kupigiwa tu simu na mwanamke hakikisha umejiridhisha kwa macho yako kwamba umemfahamu anafananaje kabla hujaanza kufikiria kungonoka maana ipo siku atakuja mtu ni mifupa mitupu, mgonjwa balaa, utafanyaje huko guest??
 
Nimekubali ili yaishe, lakini bado ana hasira, tatzo jingine anaomba nimtumie hela ya hospt akatibiwe, nimempa, ila ndo bado hataki kusamehe,

Una umri gani ndg?
 
Unavyosema, sauti ilitaka kufanana na ya mchumba wangu.
Kwani uongo?
 
utanivunja mbavu zangu ndugu

Ndio hivyo mkuu...

Yaani mwanamke kakupigia simu na kukutongoza na wala hujui anavyofanana...

Eti mtu mzima unakubali kabisa kuelekezwa hadi guest house na hujui gharama kalipa nani...

Hivi mtoto wa kiume unachotafuta hapo si ni kuliwa kidimbwi uchafu!!!
 
Ni kweli chaashe usemavo, lakini mwanzoni nilikataa sana, yani kaning'ang'ania sana kuwa tumesoma wote chuo udom ingawa tulikuwa tushare baadhi ya koz, na nilishawahi mtengenezea laptop yake nilikuwa fundi, ivyo no yangu alikuwa nayo hivyo nimemsahau tu, nikakataa hadi kanishawish tukatane gest, kibinadamu nikawa dhaifu ka wanaume tulivyo kwa wadada, cjui hata nifanyeje



Siyo wanaume wote ilabaadhi na mmojawapo ni wewe
 
Tamaa mbaya, unaonekana unapenda sana vya mteremko, ulijua umepata kumbe umepatikana. Mfuate mwambie ulijua kama ni yeye kwa hiyo ulitaka kuona je angekuja guest kweli. Lakini kwa sababu hujaja sasa unamuamini zaidi.

Hah hah jaman kwel akil za watu znafanya kaz fasta duuh nimependa huu uwongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom