Mwanaume anapodanganywa na msichana

Mwanaume anapodanganywa na msichana

nadhani baadhi ya wakaka mmekariri vibaya coz mtu ukimzoea tu anaanza kukutongoza, sema kweli ndo maana sipendi kumzoea mtu much coz mwisho wasiku nikichomoa ataona kusudi kumbe namahusiano na mtu mwingine
 
Zinduna, mwanamke yake maringo.. Asiporinga na kuleta pozi, basi nani mwingine ataringa? Hao wanawake wote apo juu wanakuwa wana nia na wanapenda kweli, ila hawana ujasiri tu wa kujiexpress themselves; as matter of fact wataonekana malaya na vitu vngne kama hvyo.. Hapo dume akikomaa kidogo tu, anakula mzigo fasta mbna
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...

hahhahaaaaaaaaaaa comment zingine shida kwel khaa? hahahaahaaaaaa
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...

hahahahahaa....! mkuu wee noooooma
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...

ha ha ha ha ha haaaaaaa kaka hii comment yako umeuaaa ha ha ha ha ha haaaaa sipati picha ndonga ilivyokuwa inasepetuka huku na kule daaaaah!!
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...

hahahahahahahaha alikomaje ?!
 
Mie nachukua wale warahisi sitaki kuujeruhi moyo wangu.akiwa mgumu kidogo nasepa wamle wanaogangamala he yanini kusumbuka! Hali zote zafanana!
 
Mie nachukua wale warahisi sitaki kuujeruhi moyo wangu.akiwa mgumu kidogo nasepa wamle wanaogangamala he yanini kusumbuka! Hali zote zafanana!

Ukisema zafanana unakosea..kwa kuwa mchele huo huo...hupikiwa pilau, biriani ,ubwabwa wa kawaida..na hata uji lakini asili yake ni mchele huo huo...
 
Playing mind games, that what its all about, na most of the times sisi wanaume tunakuwa victims sana wa hii kitu, but kwa guys wazoefu wa hizi mambo pale unapoweza kucounteract the play and create ur own rules to the game basi ujanja wenu wote unaishia mfukoni.
 
Haaaaaaaaaaaaa nimecheka sana zote hizo, lol ila wanaume mmezidi mmnajua ss ke, especially tunaopenda uchesi tunaeleweka visivyo, ila nilichojifunza hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke kabisa, kila rafiki wa kawaida wa kiume alinigeukia mwisho wa siku tunapoteza urafiki wote
Ilinitokea kwa rafiki wa kaka yangu tulizoeana sana kwani ofic zetu zilikuwa karibu, alikuwa ananisaidia mambo mengi ya kikazi ilienda hivyo kwa miaka 2 na nusu,tulifika hatua anitoa out ananirudisha vizuri home, tunapeana maushauri kibao ya maisha, loool kilichotokea sasa, wanaume wengi niliowachukulia friends waliponitongoza tu ilikuwa balaa na mwisho wa urafiki, huyu sasa siku mm ndiyo nilimtoa out kumshukuru kunisaidia jambo fulani la kizazi,kama mnavyotujua wahasibu kwa kuharibu,kweli alinisaidia sana, baada ya dinner tulitumia usafiri wake, tukiwa tunarudi home story,kucheka kwa sana gafla akasimamisha gari sehemu nzuri akasema kuna kitu anataka kunionesha, mmmh alinishika uso na makiss kibao, daah hadi leo sikuelewa ilikuwaje, tukaishia kusex kwake, hadi leo ni mtu wangu, hatukutongozana, na tunapendana sana
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...

ha ha nimecheka et kama mchawi!! Mi ndo maana nawekaga wazi lengo langu mapema!!
 
Unakutana na binti hapa Jamii Forum. Anakupm kila saa. Anakupa like hatakama umepost utumboo,anakusifia jukwaani mpaka unahisi mzIgo utapewa hata kabla ya kuomba.Ila siku unamcheki pm anakupa namba za simu. Mnaanza kuchati kwenye simu unamtongoza halafu anakutosa kama vile sio yeye hapa JF.

Mbaya zaidi anakuanzishia uzi kukusiliba!!
 
Smtime kuna mambo yanakera....way back 2007 nimerud bongo nipo likizo...mdada mmoja tulimeet kwa ndege kurud bongo from schiphol, tumefika tumezoeana weee, tumemeet like 3 times sehemu tofaut tofaut...siku hiyo kanicheck lets meet tukameet nikamuuliza twende wap akataja hotel moja hivi tumeenda nikamuuliza tukae wap au nachukua room akasema chukua...uongo mbaya nikajua leo nakula kitu kimteremkoo...he kufika room after story za hapa na pale...nataka kumake a move akaanza kuzingua n ooh I wanted us to have privacy just for stories. ..I was shocked. ..story? ? And I pay 60K for a room... just kupiga story...alikataa kata kata tusiduu...n then we left bila bila...
Nilishindwa kuelewa na mpaka leo huwa sielewagi alikuwa na maana gani...
 
Hao madem type iyo hawahitaji longolongo, wewe kamata kafumue maelezo yanakua baadae! Habari za kudanganyana oh I love you blah blah nyingi za nini!?
 
Smtime kuna mambo yanakera....way back 2007 nimerud bongo nipo likizo...mdada mmoja tulimeet kwa ndege kurud bongo from schiphol, tumefika tumezoeana weee, tumemeet like 3 times sehemu tofaut tofaut...siku hiyo kanicheck lets meet tukameet nikamuuliza twende wap akataja hotel moja hivi tumeenda nikamuuliza tukae wap au nachukua room akasema chukua...uongo mbaya nikajua leo nakula kitu kimteremkoo...he kufika room after story za hapa na pale...nataka kumake a move akaanza kuzingua n ooh I wanted us to have privacy just for stories. ..I was shocked. ..story? ? And I pay 60K for a room... just kupiga story...alikataa kata kata tusiduu...n then we left bila bila...
Nilishindwa kuelewa na mpaka leo huwa sielewagi alikuwa na maana gani...

Pengine alikua mwezini.Kuna dem niliingia nae geto, nimemchezea mpaka bac, kuingiza mkono kwnye kufuli nkakutana na pad, ikabidi nkaushe!
 
Mimi niliwahi kumpata mmoja...alikuwa anajileta lakini nikiomba kipochi analeta zengwe....siku hiyo kajichanganya kaja geto...mzee nikaenda kufunga mlango alafu nikavua nguo zote na kubaki mtupu kama nilivyozaliwa huku nikiendelea na shughuli zangu...pale room kama mchawi...alibaki na mshangao..huku macho yakimtoka alafu mzee sina habari....kilichofuata ni kufunua kipochi manyoya na ndipo uadui ulipoanzia baina yangu na yeye...mpaka leo hii...
Mmmmh we mwanaume hatari yani ni balaa hiyo mitego yako kuchomoka ngumu.. Khaaa
 
Sielewi ni kwa nn wanaume wakiona unakuwa naye karibu, unapiganaye story, unamtania, unaweza hata kuomba ushauri wa kifamilia yeye akili yake inakwenda moja kwa moja kwenye ngono, mm napenda sana kuwa na rafiki wa kuime ambaye tuko age wise na tunaongea mambo mengi lkn si kuishia kwenye ngono, lkn kila nimpatae lazima anitongoze, huwa nachukia sana na ni kweli huwa naishia kumuona mtu wa ajabu sana. ukiwa na mwanaume kama rafiki ni vizuri msingonoke maana atasaidiana kwa kila hali ila mkishangonoka tu na ugomvi unaweza ukatokea maana hautakuwa huru tena kuongea na wanaume wengine kama ulivyokuwa mwanzo.

NB WANAUME si kila mwanamke anayekuongelesha na kukufurahia basi anapenda muishie kwenye ngono, tunapenda kuwa na marafiki wa kiume.
 
Back
Top Bottom