Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,531
- 1,566
Wazinzi njooni mtoe ushuhuda hapa kama mpo
wapo wanakuja subir kidogo tena wawe honest.
Wazinzi njooni mtoe ushuhuda hapa kama mpo
ni kutokana na kitendo.. tendo la kukimbia simba ni la kishujaaa.... ila tendo la kufumaniwa ni la aibu
Lakini mungu anamakusudi yake unadhani kama mtu anaetembea na mke wa mtu kama bada ya kufumaniwa angelipata nguvu kama amekutana na simba unadhani huyu aliedhulumiwa mkewe angelipata haki yake
hivi mwizi akikamatwa ndo ananusuru maisha yako????
Miss Chaga na kufumaniwa ni ushujaa usio na TIJA.
ningekuwa napajua unapoishi kweli ningekuja.
ni kutokana na kitendo.. tendo la kukimbia simba ni la kishujaaa.... ila tendo la kufumaniwa ni la aibu
Baeleze. Maana wengine hujisifia kwa kufanya ama kuwaza matendo machafu.
Ni kutokana kuwa binadamu ni hatari zaid ya wanyama,kila skills anayoni kutokana na kitendo.. tendo la kukimbia simba ni la kishujaaa.... ila tendo la kufumaniwa ni la aibu
Ni kwelNi kutokana kuwa binadamu ni hatari zaid ya wanyama,kila skills anayo
wewe ulipofumaniwa ulifanywa nini? kiwepesi au kwa mbinde?
vipi yameshakukuta nini?
Nakumbuka kulikuwa na vitu vinaitwa unconsciousness condition( kama sijakosea au kusahau) mfano unaoendana na huu ni ule unakuta na simba au nyoka akikufukuzia ghafla unajikuta upo juu ya mti wa miiba baaada ya kuondoka huyo simba ndiyo unaanza kusikia maumivu...ni.kawaida kwani akili yote inahamia kwenye tahadhari.....
sasa kwenye kufumaniwa lazima tuelewe vitu hivi;;
lile tendo lilishapangwa kwamba mtakuwa mahali mtafanya yenu...kwa hiyi akili inajua tayari...
kwa hiyo ukishafumaniwa nafsi tayari inalusuta hivyo coordination ya kupata nguvu ya kujiokoa ama kujihami inatoweka kabisa.