Huku Arusha traffic hilo hawalioni, pikipiki ni kero mno kwenye mataa na waenda kwa miguu hawajui muda wa kuvuka kwenye mataa, na madereva wa magari wapo wazembe kinyama mpaka kero, Traffic arusha amkeni.
Hapa mmekuja kuleta uzuri wa majiji au kuelezea kero za umeme.!? umeme ni kero arusha na hakuna maelezo yoyote ya maana, huyu meneja sijui anasubiri nini asijitumbue mwenyewe, kuna hizi mita za luku za juu ya nguzo ni shida kinyama, nimeomba nibadilishiwe hata kwa gharama nyingine wanasema...
Watu wafinyu wa kufikiri mara nyingi hutafuta skendo za uongo na kipumbavu ili waonekane wajanja kumbe ni vilaza, shame on u na habari yako ya kipumbavu!
Ni kweli abomoe ili tufungiwe tujipange upyaa, sio yeye tu hata huyo waziri mwenye dhamana ya michezo angefanya kitu coz amesikia kilio cha wanamichezo sio na yeye atie pamba masikioni, Hongera sana Samatta.
Dah! mkuu umetiririka ukweli mtupu,kuna wale wanaokwendaga olimpik wanarudi mikono mitupu but hawarudi muda ambao shujaa kama samatta anavyorudi, soka la bongo ni ubabaishaji mtupu,hakuna ambaye anaweza kututoa huku tulipo kama hatutachagua viongozi ambao michezo iko damuni lakini sio hawa waliopo.
Hapo safi sana, ilikuwa na ulazima gani wa bandari pale:eek: ingeboreshwa bandari ya tanga ingekuwa imeshakamilika na kutoa ajira zaidi na serikali ingepata mapato ya kutosha, hongera kwa hilo..!!
Kama unaona usumbufu, we andika no yako kwenye kikaratasi then bandika kwenye blauz kwa mbele na kwa nyuma, huone kama watakusumbua, usisahau pia kubandika kwenye gari unalotumia!
Kila mtu anataka kumpa huduma, cheki hiyo njemba iliyovaa singland ya kijivu hapo mbele palivyovimba kama sio watu wako wengi huyo gilla angekwenda kujitambua hospitali..!!
Unajua hawa wanamaigizo wa kibongo kila kitu wanajua! umezoea kuoga kwenye ndoo au beseni umeona bahari kiherehere! wamekubeba wamekushikashika kwa wastani amejiaibisha!
Watumishi wote waliohusika hata mahakama nayo uchunguzi ufanyike ili kubaini ukweli, je? kwanini amejenga sehemu isiyohusika? na kama alipewa barua kuzuia ujenzi kwanini aliendelea? je? aliyetoa hukumu alifuata sheria au aliipindisha? ikibainika kuna mapungufu hatua kali zichukuliwe bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.