Recent content by lizy chacha

  1. L

    Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

    Tatizo ninyi ndugu zetu hampendi kushindwa na kila kitu mnajua poleeni mahakama ya kadhi no kwenye katiba kwanza mnatuboa
  2. L

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Sharifu kamuwa Erasto kisa Erasto kamzidi
  3. L

    Padre anusurika kupigwa risasi Wilayani Kisarawe

    Uhai ni zawadi toka kwa mungu na hakuna anayeruhusiwa kutoa uhai wa mwenzie
  4. L

    Yahusu wafufuao wafu na misukule

    Wakinamama wanatia aibu fuatilia kwa makini ndoa nyingi zimevurugika kisa mambo hayo mama anaacha familia anaenda kulala kanisani mambo gani hayo ni shidaaaa
  5. L

    Swali kuhusu JKT

    Ambao hawana ukimwi wanakufa kutokana na mazoezi sembuse mgonjwa we nenda uone m
  6. L

    Tahadhari kwa watumiaji wa smartphone

    Asante mkuu kwa taarifa
  7. L

    Tamasha La Clouds FM linawaharibu vijana wetu (After School Bash)

    Hivi zamani yalikuwepo hayaaaaa au ndiio digital
  8. L

    Kwa watu wa mkoa Kigoma tu

    Eeeee mugabo ulihoho
  9. L

    Polisi Mombo wamekithiri Kwa rushwa

    Acha majunguuuuuuuu kama unahitaji mgawo semaaaaaa ni za mboga
  10. L

    Angalia vituko vya Polisi ITV

    Yaani wabongo tuna shidaaaaa hatuna jema hata polisi wakifanya jema kwetu baya
  11. L

    Jihadharini na changu chako chako chako kwenye ndoa

    Acha zako ukikorofishana na mkea kidogo tu unaleta mada kwenye jf
  12. L

    Mfahamu Eliza, Binti mrembo anayesambaza VVU kwa makusudi

    Kwani baamed siyo kazi haiwezekani kumuelezea mtu namna hiyo kila siku mnaelimishwa kuhusu kujikinga acha zako eti "nimeokoa vijana " udhalilishaji huo
Back
Top Bottom