Kamanda wapolisi singida ametuacha hoi
ameanza kusimamisha madereva wa mabasi na kuwapima kama wamelewa
alipoulizwa kwanini wawapime mwezi huu na sio sikuzote ati mwezi huu vijana wengi wanaweka pombe kwenye chupa ya maji kumbe viroba
hivi wakuu na id makamanda wa polisi wengine hivi vifo vya ajali majuzi hamkuviona mpaka mnakuja kujionyesha xmass
angalizo
soon utawaona sumatra pale stand yamkoa napolisi wakikagua mabasi na bei kama vile miezi mingine tunaruhusiwa kufaw jamani
kwa nini wasikague kila siku
pombe ziko kilasiku why upime december tu??tena unajibu mwezi huu madereva wengi sikukuu wanakuwa wamelewa
uwii
wewe mtoa mada,umeamka na viroba nini kichwani?topic yako imekaa kigaysh sana.