Mie nimeanza kutumia smartphone juzi,hizo pattern ndio nini?na lock pin unawekaje?
Umenunuaje simu usiyoweza kuitumia lah hata kujifunza?
Si ndio najifunza huku JF...........
Si ndio najifunza huku JF...........
kama unajua lock pin na pattern unajua basi...
Sio lazima uwe na pattern hiyohiyo. Ukibadili hata baada ya wiki mbili hata anae fuatilia itamchanganya.
Inategemea na ubora wa simu
yangu haionesh alama
Yangu haingii mtu . " fingerprints " lol -🙂
Mi lock ya kawaida tu naonaga inaninyanyasa....pattern tena uwiii