Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

Mahakama ya Kadhi ipo Tanzania

Makadhi wote ni viongozi wa dini ya uislamu, imani moja, mungu mmoja na Quruani itumikayo ni moja. Kadhi wa wilaya akitoa hukumu, kadhi wa mkoa hataweza kupinga maana mwongozo wa imani ni moja. HIVYO ni wazi kwamba hakuna pa kukata rufaa hata kama mtu kanyimwa haki yake.
Pili endapo mimi mashahidi wangu ni wanawake na kiislamu mwanamke hasikilizwi si tayari haki yangu imeshapotea...? TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Mkuu kumbuka hii kadhi itaongozwa na makadhi wenye elimu nzuri ya kutambua jinsi ya kutoa haki kwa waislam, na elimu huzidiana. Kama tunakubaliana kwamba elimu huzidiana, nadhani kutakuwa na haja ya kukata rufaa endapo mtu atahisi kwamba hajatendewa haki katika ngazi za chini.

Tatizo kuna watu ningependa watoe comments zao hapa, ili twende sawa lakini sijui tatizo nini.
 
Kiongozi, ninaomba unionyeshe tusi kwenye huu uzi ni lipi!.

Unaposema kutambulikana kwa ndoa za kidini, ndoa za dini zote na hata za kimila zinatambalika. Lakini hakuna sehemu kwenye katiba imeandikwa kwamba ndoa hii ya kiana fulani lazima ifuatwe na mtu atakayeikiuka anavunja katiba.

Nidyo maana, Wakrito ndoa zao hazina talaka. Lakini Mkristo anapoona joto limezidi mwanga jikoni, anakwenda mahamani na talaka inatolewa. Hakuna sheria inayosema "Kwa kuwa ulifunga ndoa ya Kikristo, rudi mkamalizane kule kule kanisani, sisi serikali hatumo!". Na wala hakuna shurti kwamba ukifunga ndoa hii, basi huna sehemu ya kwenda kuitangua na kuingia kwenye mfumo mwingine.

Kama hujui nini implication ya serikali kulazimisha watu kufuata imani fulani kwenye uhuru wa kuabudu na kuamini vile mtu atakaye, waite wenzako waje watuambie.

Ninaomba hili suala usilione tu ni rahisi kama unavyolitamka. Lina implications nyingi katika nyanja za nchi. Acheni kukimbiliakwenye mawazo ya ku re-frame vifungu vya sheria bila kuangalia athari zake kwa jamii ambayo ni pana na inaguswa kwa upana kuliko hata hao waislam.

Mfano, mtume mohamed alioa aktoto ka miaka 6, akaanza kufanya nako ngono kakiwa na miaka 9. Leo hii mahakama ya kadhi itasimamia sheria za ndoa kwa misingi ya uislam. Serikali ijiondoe kwenye usimamizi wa hizi sheria iziweke kwamba ni sheria za serikali. Pale watoto watakapoanza kuachishwa shule ama kuzuiliwa kabisa (malezi ya watoto), kwamba wakaoelewe wakiwa na miaka 6 au 9; hapo hakuna bi Hellen Kijo Bisimba, hakuna baraza la maadili wala wizara ya wanawake, watoto na jinsia itakuwa na mamlaka wala uhuru wa kuhoji kitendo hicho. Kwa sababu kufanay hivyo itakuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama ambayo haikatiwi rufaa, na hata kama itakatiwa rufaa, kuiambia mahakama ama chombo chochote kitangue ndoa hiyo ya vitoto, ni itakuwa ni sawa na kuiambia mahakama ivunje sheria za nchi ambazo inatakiwa kuzisimamia, kuzilinda na kuhakikisha zinatekelezwa ipasavyo. lITAKUWA NI TAIFA LA AINA GANI HILO? MBONA MNATAKA KUONGEZA KAZI KWA VYOMBO VYA HAKI ZA BINADAMU DUNIANI MAKUSUDI HUKU MKIJUA TAYARI VIMESHALEMEWA SANA?

Haya, sheria ya maadili ya uislam, mtoto yeyote atakayezaliwa na muislam, ni muislam na hivyo atatakiwa kufuata masuala ya kadhi, maana hiyo ndiyo imani. Mtoto huyo ni wa dada yako, amefika mahala anataka kuamini dini nyingine, anapelekwa kwa kadhi kwa sababu anavunja sheria ya malezi yawatoto, anahukumiwa, hakuna kuacha dini ile hadi afe, hana uhuru wala uwezo wa kukata rufaa, na hata akikata rufaa, hakuna mahakama nchini itaamuru kwa kuvunja sheria za kadhi ambazo zitakuwa nis sheria za nchi tayari. Je ni nini haka ya huyo mtoto? Badokuna uhuru wa kuabudu kile mtu atakacho?

Lakin pia, waislam wamegoma kutelekeza maamuzi ya mahakama za kadhi zilizopo. Dini na iongozi wanashindwa kuwashawishi wawe waislam waaminifu, watii sheria ya imani yao ya kadhi bila shurt.

Sasa wanakuja na gear ya kushinikiza serikali iwasaidie kudhibiti watu wao wanaoshindwa imani. Je ni kweli watanzania tunataka serikali ianze kulazimisha watu kufuata sheria za dini fulani kwa kutumia sheria na mifumo yake? Hii serikali iko kwa ajili ya nani kama si kwa ajli ya wananchi wake?

Katiba yetu haiwezi kutumika kama fimbo ya kulazimisha watu kuwa wafuasi wa dini a kiislam. Kama wanataka kuwa waislam, waendelee salama kabisa. Viongozi wakiislam, wafundishe na kuwaimarisha atu wao kwenye uislama na utii wa kadhi. Kama katika mafunzo hayo kuna wanaogoma kutii kadhi, waislam wajue kwamba itakuwa imeshindikana kwa wale watu. Lakini hawatatumia serikali yetu kulazimisha watu kufuata mambo ya dini wasiyoiamini. Dini ni Imani, haitakiwi kushurtishwa.

NINASHANGAA SANA SERIKALI YA TANZANIA KAMA KWELI IMEAMUA KUWAUZA WANANCHI WAKE, KUONDOA UHURU WA KUAMINI NA KUFUATA IMANI WAITAKAYO, SASA INATAKA ITUMIE FIMBO YA CHUMA KUWATIISHA WATU KWENYE UISLAM HATA KAMA HAWATAKI!.





Ok, Mimi nimejaribu kujibu swali lako kwamba kwanini nadhani ni muhimu kwa mahakama ya kadhi kutambulika rasmi katika sheria za nchi, na mwisho nimesema " nadhani", kwakuwa huo nimtazamo wangu.

Nitafurahi nikiona jibu jinginge la swalilako hapa kutoka kwa watu wengine, kama lipo!!.

Pamoja na sababu za kufikirika ulizo zitoa hapo juu, unadhani kwanini ndoa za kidini zimetambulika kisheria, na kuna toauti gani inayoleta ugumu katika utambuzi wa kadhi kisheria,na imekuwa rahisi sheria hiyo hiyo kutambua maswala ya ndoa!!!.

Kuhusu katiba kutoa Uhuru wa kuabudu na kwamba haita mlazimisha mtukufuata maamuzi ya mwongozo wa imani yake, na kuhusu ninikina fanyika Mara muislam anapo acha uislam ama kushindwa kufuata matakwa ya dini yake, hiyo siwezi kuielezea.
Wenye kujua wata ielezea ingawa mimi sioni kama ni sehemu ya huu mjadala,manaake inaweza kututoa kwenye pointi ya kadhi na kutupeleka kwenye mjadala mwingine.

Tujenge hoja, vijembe,kejeli,na matusi ni udhaifu.
 
Ninashindwa kuelewa sijui ni lipi sahihi, serikali yetu imekwenda likizo ama ime resign kabisa. Masuala kama haya yako dhahiri. Sasa kuna waislam na waislam wagalatia. Serikali inakubali kiusingiziusingizi au ki kutokujali matokeo kwa sababu labda kwa kuamini kwamba hawatakuwepo ama hawatahusika nayo. Lakini kuiingiza seriakli mwenye imani ya kundi moja tena lenye ugomvi, ni kuhamisha migogoro ya dini husika kuwa migogoro ya serikali. Migogoro yoyote ya srikali, waathirka wake ni Wananchi wote bila kujali ni waislam, waislam wagalatia, watunga sera ama watu waumini na wasio na dini.

Kwa vyoyte vile, sheria za dini zitabaki kuwa za dini husika. Maandiko yote yatabaki kwenye misahafu na nyaraka zingine za hiyo dini lakini KAMWE HAKUNA DINI ITAHAMISHIA SHERIA ZAKE KWENYE KATIBA YA TANZANIA!.

Wangelikuwa wamekatazwa kufanya hukumu, wangesema.

Wanglikuwa wamezuliwa kuabudu vile dini yao inataka wangesema.

Lakini hakuna dini wala imani yenye masharti kwamba ili ikamilike, sheria zake lazima ziandikwe kwenye katiba ya nchi!. Hii ni njama ya wazi ya kutaka kutumia mkono wa serikali kulazimisha watu kufuata masuala ya imani ya kiislam, na kuzuia mtu wala chombo chochote kukosoa wala kupinga masuala ya iman hiyo hata kama yatakuwa na athari gani kwa maisha, wakati huo huo serikali nayo itakuwa haina uwezo wa kujipinga kwa sababu tayari itakuwa imezifanya sheria za uislam kuwa ni sheria za nchi ambazo serikali haitakuwa na uwezo wa kuzifanya lolote.

HILI HALIKUBALIKI!.



Kama habari ndio hiyo yaani sehemu fulani ya waislam kutaka support ya serikali dhidi ya sehemu nyingine ya Waislam (wagalatia?), basi jambo hili ni mtego mkubwa kwa serikali. Kama wameshindwa kutambua mgogoro huo na kujiingiza kichwa kichwa serikali inataka kuzua mgogoro mkubwa ndani ya jumuiya ya waislam Tanzania.Kumbi BAKWATA ni jumuiya ya CCM na ndio wamepewa ulaji wa mahakama ya kadhi.
 
Tatizo ninyi ndugu zetu hampendi kushindwa na kila kitu mnajua poleeni mahakama ya kadhi no kwenye katiba kwanza mnatuboa
 
Kubwa zaidi ni kulazimisha iandikwe kwenye katiba itambulikane na serikali ijiondoe kwenye usimamizi na kusiwe na rufaa dhidi ya maamuzi ya huyo kadhi.

Ndoa za kiislam zinaruhusu mtoto wa miaka 6 kuolewa na kibabu, halfu akifikisha miaka 9 aingiliwe kimwili ni mtu mzima huy tayari kwa uislam kwa maana hata mohamed alioa aktoto ka vile. Kadhi aruhsuiwe kusimamia ndoa bila kuingiliwa na serikali na hakuna mzazi wala chombo chochote kupinda wala kukata rufaa. Ni nani atakuwa mtetezi wa watoto hawa ikiwa sheria hii itakuwa ya kiserikali? Na kwamba haipingwi popote wala rufaa hakuna an serikali hakuna kuingilia?

HATUANDIKI WALA KUIWEKA KADHI KKWENYE SHERIA ZA NCHI. KUFANYA HIVYO NI MAUTI KWA TAIFA1


Mkuu kumbuka hii kadhi itaongozwa na makadhi wenye elimu nzuri ya kutambua jinsi ya kutoa haki kwa waislam, na elimu huzidiana. Kama tunakubaliana kwamba elimu huzidiana, nadhani kutakuwa na haja ya kukata rufaa endapo mtu atahisi kwamba hajatendewa haki katika ngazi za chini.

Tatizo kuna watu ningependa watoe comments zao hapa, ili twende sawa lakini sijui tatizo nini.
 
Kiongozi, ninafikiri kama umesoma hapo juu kwenye mwanzo wa mada, utakuwa umeelewa ni kwa ni inashangaza.

Nimetoa onyo watu waache upotoshaji wa kudanganya uma kwamba waislam wamekatazwa kuanzisha na kutumia mahakama zao. Zipo na wao dio wanajua matumizi yake.

Swali langu kubwa ni kwa nini walalilia sasa ziandikwe kwenye katiba? Kuandikwa kwenye katiba kwa mahakama hizi, kutaongeza nini kwenye ufanisi wake? Ni wapi zimekwama kiasi cha kubainika kwamba mkwamo huo utaisha zikiandikwa kwenye katiba ya nchi?

Ninasubiri jibu, lakini bado hawajaja wanaolilia ziandkwe kwenye katiba.

Ni kweli ilianzishwa ila wanataka itambulike kisheria ili wakatane mikono, miguu na wanawake wanaobanjuka nje ya ndoa au msichana wa kiislam akikutwa anabanjuliwa auwawe kwa mawe lakini mwanaume yeye anakuwaga hana hatia, na pia wanataka serikali iwape magari na hela za kuendeshea mahakama zao..!!
 
hawa makafiri woote humu Jf wanalijua hilo ila unafik wao wanadhani hatujaujua.

Hakuna muislam mwenye muda wa kupoteza kujibu hizi porojo.


MAKAFIRI MNASAHAU, WAISLAM WA LEO SIO WALE WA MIAKA KUMI ILIYOPITA. TUNAJUA UNAFIKI NA HILA ZENU NYIE WAGALATIA MSIO NA AKILI
[h=2]ADAM na HAWA Hawakuwa Waislamu[/h]
Ndugu zanguni, leo nataka kuwafahamisha Waislam kuwa,ADAM na HAWA hawakuwa waislam kama ambavyo wanavyo dai.

Ngoja nikusaidie kidogo:

Hivi unafahamu kuwa Uislam ulianzishwa na Muhammad na haukuwepo kabla yake?

Uislamu ambao ulianzishwa na Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) mnamo mwaka 610 A.D. huko Makka, na ulikamilishwa kwa msaada wa binamu yake, mshiriki na mshikamakamu wake, Ali ibn Abi Talib, mnamo mwaka 632 A.D. hapo Madina. Inahusisha kipindi cha miaka tisini kuanzia 570 A.D. wakati yeye Muhammad alipozaliwa huko Makka, hadi mwaka 661 wakati mrithi wake, Ali ibn Abi Talib, alipouawa huko mjini Kufah.


Kama unabisha nijibu yafuatayo:

1. Nionyeshe neno au jina "ISLAM" katika Taurat aliyo iteremsha Allah kwa Mousa kabla ya Quran.
2. Nionyeshe neno au jina "ISLAM" katika Zaburi aliyo iteremsha Allah kwa Daoud kabla ya Quran.
3. Nionyeshe neno au jina "ISLAM" katika Injil aliyo iteremsha Allah kwa Yesu kabla ya Qurann.

Kumbuka: Sina Muda na aya za Quran, maana Quran sio mkusanyiko wa vitabu "BIBLIA. Mimi nijibu kwa kutumia Taurat, Zaburi na Injili alizo ziteremsha Allah kabla ya Quran kuteremshwa kwa Muhammad.

Kama kuna Muislam yeyote yule hapa duniani atanionyesha "UISLAM" na au jina UISLAM na au neno UISLAM katika hivyo vitabu, LEO HII MIMI NITASILIMU NA KUWA MUISLAM.

Karibuni kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu.​
 
Ni kweli ilianzishwa ila wanataka itambulike kisheria ili wakatane mikono, miguu na wanawake wanaobanjuka nje ya ndoa au msichana wa kiislam akikutwa anabanjuliwa auwawe kwa mawe lakini mwanaume yeye anakuwaga hana hatia, na pia wanataka serikali iwape magari na hela za kuendeshea mahakama zao..!!

Kinachonipa tabu ni kwamba mtume alioa katoto cha miaka 6 na kitabu chao kinawakandamiza sana wanawake. Leo hii tunaingiza kwenye katiba. Hivi kweli katiba ya nchi ndiyo inakuwa jabali la kumkandamiza na kumponda mwanamke ambaye tunakaribia kumkomboa dhidi ya tamaduni kandamizi. Hivi binti zetu, dada zetu na mama zetu watatuelewaje kesho na kesho kutwa. OLE WENU
 
Mkuu, usisahau kwamba pia kuna sera nyingine ya hamsini kwa hamsini. Hii ya hamsini diyo ijazwe na hwa wanawake wa kadhi wanaoolewa miaka 6. Wanaelimu gani ya kuongoza katika maendeleo ikwa wao wenyewe watakuwa ni wahanga wa mahakama ya kadhi isiyotambue elimu wala mchango wa mwanamke katika maendeleo na hivo kumdumaza kwa kumwoza akiwa na miaka 6?

Hili jambo la mahakama ya KADHI., ni swa na mahakam za kimila, HAZITAKUWA ZA SERIKALI KWA SABABU MISINGI YAKE NI IMANI AMBAYO SERIKALI HAIWEZI KU CONTROL NA WALA HAIRUHUSIWI KUINGILIA ZAIDI YA KUSHINIKIZA UTEKELEZAJI WA HUKUMU ZAKE. HII NINAIONA KAMA VILE SERIKALI IMETEKWA NYARA, IMEWEKEWA MTUTU USONI KWAMBA LAZIMA TZ IFUATE SHERIA ZA KIISLAM BILA KUJALI MASLAHI YA BINADAMU WENGINE NA TAIFA KWA UJUMLA.

CCM ITUACHIE NCHI YETU SALAMA.

Kinachonipa tabu ni kwamba mtume alioa katoto cha miaka 6 na kitabu chao kinawakandamiza sana wanawake. Leo hii tunaingiza kwenye katiba. Hivi kweli katiba ya nchi ndiyo inakuwa jabali la kumkandamiza na kumponda mwanamke ambaye tunakaribia kumkomboa dhidi ya tamaduni kandamizi. Hivi binti zetu, dada zetu na mama zetu watatuelewaje kesho na kesho kutwa. OLE WENU
 
Nyuzi zote zinazohusu imani huwa napita kimyakimya..
 
tMkuu hata mimi nilikuwa hivyo. Nyuzi za imani niliziona kama matangazo ya mchezo wa kombolela kwamba hazinihusu.

Lakini hapa, unapaswa kujua kwamba suala si imani tu tena. Ni imani kufanywa sheria za nchi. Hakuna mwananchi atakayesema sheria fulani ya nchi haimhusu.

Serikali imeng'ang'ania kuifanya imani ya kiislma kuwa imani ya taifa, kwamba maamuzi yoyote ya kiimani ya kiislam yapite bila kupingwa ndani ya serikali, pasiwe na mtu wala chombo cha kuhoji, serikali iyatambue na kusimamia utelezaji wake na yasihojiwe popote kama kura za uchaguzi wa raisi.

Hapo ndipo uhusika wetu unapoingilia. Wangeyaacha kuwa ya dini, hakuan mtu angepoteza muda wake hapa. Lakini kwa kulazimisha kuifanya imani ya kiislam iwe sheria ya nchi, tutasimama kwa ajili ya amani ya nchi yetu na hatima ya vizazi vyetu, hadi mwisho wa maisha yetu.

WITO KWA PINDA NA SERIKALI YA CCM AMBAYO IMESEMA ITAPELEKA TENA MSWADA HUO BAADAYE BUNGENI, INGAWA HAWAKUSEMA NI LINI, WAACHE KABISA KULIANGAMIZA TAIFA.

Tuliwapa dhamana ya uongozi lakini hatukuwapa hatimiliki ya nchi kaisi cha kulazimisha kufanya mnachotaka tena bila kujali kinaharibu nchi kwa kiwango gani. Uharibifu mlioufanya Tanzania unatosha. Ninatamani mmalize muda wenu ili muagwe katika hali salama na mkumbukwe na vizazi vijavyo kwa mema.

Mnamambomengi sana ya muhimu ya kushughuilkia katika Tanzania zaidi ya kushinikiza kuisilimisha nchi. Yako masuala mengi yenye tija kwa watu wa dini zote, makabila na jinsia zote yenye tija na kuleta maendeleo kuliko hli mnaloshupalia kutakakulifanya.

Siasa za kuligawa taifa kwa hila, kujenga mitafaruku ndani ya nchi na kuvuruga mifumo sahihi ya maisha bila kuwa na solutions za matatizo yanayowakumbwa wananchi, kutaendelea kujenga tabaka na chuki miongoni mwa raia na ninyi. Mnafahamika mnaoharibu nchi.

SASA ACHENI MIPANGO YA HILA, WAAMBIENI WAISLAM MLIOWAHADAA KWAMBA WAJENGE HESHIMA YA KADHI MIONGONI MWA WAUMINI WAO KWA MIFUMO WANAYOTUMIA KUWASHAWISHI KUJIUNGA NA DINI HIYO. SERIKALI YA TANZANIA HAINA DINI NA HAITATUMIKA KUFANA PROPAGANDA ZA KUENEZA DINI MJA WKATI DINI ZIKO NYINGI TU NA ZOTE ZINGETAKA SERIKALI IZIFANYE ZA TAIFA.

WASHAURINI WAISLAM WAACHE CHUKI NA MANUNG'UNIKO YASIYO NA TIJA BADALA YAKE, WABALANCE MIFUMO KWA KUZINGATIA MAHITAJI YA BINADAMU KAMILI VIKIWEMO AKLI, MWILI NA ROHO. WAFANYE MASUALA YA MAENDELEO BADALA YA KUISHIA KULALAMIKA. WAHIMIZE ELIMU NA UPENDO, HUKU WAKIENDLEZA DINI YAO, KAMA VILE WATU WA DINI ZINGINE WANAFNYA.

WATANZANIA TUMEKATAA, NA HATUKO TAYARI KUINGIZWA KWENYE IMANI YA KIISLAM KWA LAZIMA. NINADHANI AMANI NI MUHIMU KULIKO JINA KUU.


Nyuzi zote zinazohusu imani huwa napita kimyakimya..
 
Back
Top Bottom