Jihadharini na changu chako chako chako kwenye ndoa

Jihadharini na changu chako chako chako kwenye ndoa

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,675
Reaction score
37,853
Hii ni wazo TU tukielekea alhimisi Ndoa nyingi ukiacha shida za nyumbandogo na nguvu za asili kupungukiwa


Kumezuka umimi yaani chako changu chako chako h ii ni shedaaa nakuweka sawa wewe unaekaribia kuingia wasiona imani wanaaga KABISA

Isiwe kwako in Jesus Name
 
Hii ni wazo TU tukielekea alhimisi Ndoa nyingi ukiacha shida za nyumbandogo na nguvu za asili kupungukiwa


Kumezuka umimi yaani chako changu chalo chako h ii ni shedaaa nakuweka sawa wewe unaekaribia kuingia wasiona imani wanaaga KABISA

Isiwe kwako in Jesus Name
Pdidy unafanya makusudi kuleta mada sizizoeleweka na kuandika vibaya nawakati unajua kuwa wenzako hawakuelewi sasa kama unatafuta umaarufu subiri.
 
Last edited by a moderator:
Kaka P didy acha tu hayo mambo yamenikuta mm ndo Niko ktk harakati za kuondoka ktk hiyo mikataba niishi na maisha yangu
 
Roho mbaya na ubinafsi....
usiombe mkagombana hadi chaja zinafichwa kwenye sidiria
 
Hiyo hali ipo sana siku hizi ule umoja wa familia haupo tena, unakuta mke/mume anaanzisha mradi bila mwenzie kujua, mwingine anajenga nyuma kwa uficho sijui inafaida gani? mtu mna watoto kuficha ficha ya nini tengenezeni future ya watoto mali zote zinazotafutwa mkiwa kwenye ndoa ni kwa ajili ya watoto sasa ya nini kufichana?
 
Threads za ndugu yangu Pdidy kuzielewa inabidi utafute sehemu utulie ndio usome tena ukiwa umeshiba........
 
Last edited by a moderator:
Hii mada ni nzuri sana sema prisentation yake ipo kimdhaha zaidi.INAWAHUSU WENGI SANA HII TABIA.
 
Pdidy unafanya makusudi kuleta mada sizizoeleweka na kuandika vibaya nawakati unajua kuwa wenzako hawakuelewi sasa kama unatafuta umaarufu subiri.

Miaka niliooopo umaarufu tosha we umefikisha 35??Labda nikusaidie Ingekuwa unavyosema wasingeweka Edit post...mns Ukiona KUNA maneno ayaeleweki unaasema yanarekebishwa..swala la kuelewa hilo ni inaitaji juice ya alovera ya dumu la njano... hiyo inahusu mamboyaufahamu ngumu kutoa msaada

Hata hivyooo usichoke kunielekeza ninapokosea

Ubarikiwe
 
Last edited by a moderator:
Acha zako ukikorofishana na mkea kidogo tu unaleta mada kwenye jf

Jamani mkeewangu yuko nje MWEZI wa Pili nipatewapimuda huo... Lizy kangukana akili nikimwambia kituchochote hatamuda wa kukorofishana haupo

Polekama imekukasirisha
 
hiyo hali ipo sana siku hizi ule umoja wa familia haupo tena, unakuta mke/mume anaanzisha mradi bila mwenzie kujua, mwingine anajenga nyuma kwa uficho sijui inafaida gani? Mtu mna watoto kuficha ficha ya nini tengenezeni future ya watoto mali zote zinazotafutwa mkiwa kwenye ndoa ni kwa ajili ya watoto sasa ya nini kufichana?

daudi inaumiza sana
tumezika jirani juzi si utani frm ma hrt dont ask deep/bottom yaani baadaya msiba jioni mmoja wa wafanyakazi wake anasema mzee ana malori mawili yanapaki pale mwananchi yameandikwa cccc hiyo ni baada ya kuona list za mali zimeirodheshwa ajasikia malori

jiulize huyo kaamua kusema vingapi viko nyuma ....mkiona hivyo wajuzeni hata ma hgl siku mkiondoka vinauhakika wa kurudi nyumbani
wazo
tu
 
Kaka P didy acha tu hayo mambo yamenikuta mm ndo Niko ktk harakati za kuondoka ktk hiyo mikataba niishi na maisha yangu

Usitoke chinga ni pm tukutane tuombeane hakuna linaloshindikana KWA Mungu najua unachopiitia ni zaidi ya Klima wa escrow
 
Siku nilijua kuwa naishi na mtu mwenye malengo yake ni day tulitibuana nikampa kichapo akaenda kwao,nikaanza kusikia oh lile kabati la nguo ni langu,oh ile frezer nilinunua mimi mara na ile gari hela nyingi nilitoa mimi nikajua ah!!kumbe hapa tunachangishana sio ndoa,sorry kwa kuwambia hili hatukudumu ingawa tuliapa kanisani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom