Unamjua MTU mwenye mapenz ya dhati wewe kama unajua uwezi kuthubutu kumsaliti mkeo name isitoshe watoto ni watoto either wa kiume au wa kike nani zawadi from God
Hawa ndo wanaume wanaopenda kufanyiwa kila kitu na mke unashindwa toa mkanda ktk suruali. Nae huyo mkeo yupo wapi mpaka anampa nguo house gal afue nguo zako.
Huyo mwanamke hivi ametoka dunia ya ngap amefundwa huyo kweli kwao na je anajua ahadi ya ndoa kweli. Huyo c mke kabisa inaelekea anarudi kwako koz kajua kyna hela. Mi ninachoweza kushauri we Lea watoto wako tu uendelee na maisha yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.