Recent content by Lizreenjohn

  1. L

    Mwanamke asiyependa ngono namtafuta awe mke wangu

    Kwa kuwa ww ushafanya mpaka umekinai
  2. L

    Natafuta mwanamke wa kuanzisha nae familia

    Napo mshirikishe Mungu
  3. L

    Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto wa kike

    Unamjua MTU mwenye mapenz ya dhati wewe kama unajua uwezi kuthubutu kumsaliti mkeo name isitoshe watoto ni watoto either wa kiume au wa kike nani zawadi from God
  4. L

    Wadada wa kazi na visa vyao, nimemtimua wangu jana

    Hawa ndo wanaume wanaopenda kufanyiwa kila kitu na mke unashindwa toa mkanda ktk suruali. Nae huyo mkeo yupo wapi mpaka anampa nguo house gal afue nguo zako.
  5. L

    Wadada mbona mnapenda sana kuhongwa?

    Kwan unataka SMS akujibu na nini nayo c inatumia hela. Nyie ndio mnapenda vitu vya bure vizur gharama
  6. L

    Alininyanyasa sana nilipofukuzwa kazi, MUNGU ameniona, sasa yamegeuka

    Huyo mwanamke hivi ametoka dunia ya ngap amefundwa huyo kweli kwao na je anajua ahadi ya ndoa kweli. Huyo c mke kabisa inaelekea anarudi kwako koz kajua kyna hela. Mi ninachoweza kushauri we Lea watoto wako tu uendelee na maisha yako
  7. L

    Nataka demu mtanzania

    Nano kakudanganya hujakutana na mtu wewe kwanza una shilling ngap
  8. L

    Mpenzi wangu hajawahi kuniomba hela

    Co mpaka uombwe we we mwenyewe unatakiwa ujiongeze ndo maana mnasaidiwa na watu wapemben then later unaachwa unakuja kulalamika ili iweje sasa.
  9. L

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Nawe ulikosea ungekataa toka amemleta hom na pia toka anasoma primary ungekataa kutoa ada
  10. L

    Nahitaji kuoa anybody serious

    Utapata mkuu
  11. L

    Interview ssra

    jaman zpo wapi hiz habar naomba kujuzwa wadau
  12. L

    SCI Internal Job Bulletin 18/06/2014

    Naomba mnitumie pliz jaman ktk email alicemasaki@yahoo.com
  13. L

    Updates za TBS jamani

    Wana JF nataka kujua hawa TBS kama tayari washaita watu kwa interview ama bado maana ni kitambo toka walivyotoa nafas za kazi.
Back
Top Bottom