Paullih umenikumbusha mbali sana, maana nakumbuka kuvisoma hivyo vitabu vyote ulivyotaja hapo wakati huo nilikuwa shule ya msingi,,, mdingi (marehemu) alikuwa polisi hivyo vitabu vya kipelelezi vilikuwa rundo ndani ya nyumba,
Nasikitika tu kuwa waandishi wa Riwaya za sasa hawana mvuto kama wale...