Kwenye forex kitu kikubwa sana cha kuzingatia ni risk management.Ukifuata hivo na ukipata mentor mzuri ni ngumu sana kuunguza account.Lakin pia inahitaji mtu usome sana na uwe mvumilivu.
Lengo la huo mtihani sio kupima uwezo wa watu kama wanajua issue za kukusanya kodi...lengo ni kuwachuja na kupata idad inayotakiwa......na nina uhakika kwa jinsi vijana wanavujua kukariri mambo ya darasani wangetolewa mambo ya kodi sijui customs wangefaulu sana mpaka kushindwa kuwachuja.
Upo sahihi mkuu vyeti vya Olevel,Alevel na chuo vinakaa kwenye acaademic qualification alafu hizo transcript,birth certificates na vengine vinakaa kwenye other attachements
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.