Kuhusu ku-certify vyeti

Kuhusu ku-certify vyeti

hapana mkuu umekosea kidogo kwa sasa mahakamani hawakubali kama ulivyosema bali ni ivi ukija mahakamani unamwona RO yaani karani mkuu ataangalia na kukupa bei ya kulipia atakupa pay slip ya mahakama uende benk kulipia then utarudisha ili upate risiti ya selikali na hakimu hapo atagonga muhuri wa mahakama ila njia rahisi nenda kwa wakili na pesa yakokononi na copy zako kwake original sio lazima saaana ubebe

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana huo ndio utaratibu mpya kwa siku hizi au wa mahakama husika.
Mimi nimecertify vyeti kama mara mbili na leseni ya biashara mara moja, utaratibu niliousema ndio uliotumika.
Thanks
 
hapana mkuu umekosea kidogo kwa sasa mahakamani hawakubali kama ulivyosema bali ni ivi ukija mahakamani unamwona RO yaani karani mkuu ataangalia na kukupa bei ya kulipia atakupa pay slip ya mahakama uende benk kulipia then utarudisha ili upate risiti ya selikali na hakimu hapo atagonga muhuri wa mahakama ila njia rahisi nenda kwa wakili na pesa yakokononi na copy zako kwake original sio lazima saaana ubebe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama kuna mtu ana certify cheti bila kuona original huyo hana maadili ya kazi na hafai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napata ukakasi, nilidhani vyeti vya olevel na alevel vinakaa kwenye academic qualification halafu transcripts ndio inakaa kwenye other attachements
Upo sahihi mkuu vyeti vya Olevel,Alevel na chuo vinakaa kwenye acaademic qualification alafu hizo transcript,birth certificates na vengine vinakaa kwenye other attachements
 
Jaziajazia basi.
Mimi nimewahi kufanyiwa zoezi hili miaka ya nyuma kama mara tatu hivi.
Siku ya kwanza nilipeleka vyeti nikafanyiwa free incharge, siku ya pili nilipeleka vyeti tena nikaombwa buku 2 na karani tena alinifuata huku naondoka nikampa.
Siku ya tatu nilipeleka leseni ya biashara nikaombwa 5 nikawapa.
Sijui siku hizi kama mzee bure yupo hai
mm living ya 4m4 ilikosewa tare ya kuzaliwa tu nikaenda kuapa walitaka 10,000 nikawachimba biti mm ni police wakanifanyia bure
 
Ze Heby UNAMPOTOSHA MWENZAKO. CHETI CHA A LEVEL, O LEVEL NA CHUO VINAKAA KWENYE ACADEMIC QUALIFICATIONS

PICHA INAKAA KWENYE WALL

CV, BIRTH CERT, TRANSCRIPT NA DOCS ZNGNE ZNAKAA KWENYE OTHER ATTACHMENTS
Upo sahihi kasoro kwenye cv. Cv hutakiwi kuattach sababu umeshajaza ndo maana kuna sehemu ya kuprint cv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[quote uid=314633 name="masafi" post=23191128]Upo sahihi kasoro kwenye cv. Cv hutakiwi kuattach sababu umeshajaza ndo maana kuna sehemu ya kuprint cv<br /><br />Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]<br />Upo sawasawa mkuu wengine wanakurupuka hawasomi vipengele kwa makini na mwisho wanalalamika hatujakuwa selected ukiangalia kumbe tatizo ni jazba ya kufanya mambo upesi bila umakini<br /><br />Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napata ukakasi, nilidhani vyeti vya olevel na alevel vinakaa kwenye academic qualification halafu transcripts ndio inakaa kwenye other attachements
Mimi nimeweka hapo hapo kwenye qualifications na nimeshaomba kazi nikaitwa kwenye interview japo sikwenda.
 
Wadau hivi passport tunaweka pale kwenye other attachment au kuna mahali pake kwenye portal?
 
Back
Top Bottom