Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,953
Yawezekana huo ndio utaratibu mpya kwa siku hizi au wa mahakama husika.hapana mkuu umekosea kidogo kwa sasa mahakamani hawakubali kama ulivyosema bali ni ivi ukija mahakamani unamwona RO yaani karani mkuu ataangalia na kukupa bei ya kulipia atakupa pay slip ya mahakama uende benk kulipia then utarudisha ili upate risiti ya selikali na hakimu hapo atagonga muhuri wa mahakama ila njia rahisi nenda kwa wakili na pesa yakokononi na copy zako kwake original sio lazima saaana ubebe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimecertify vyeti kama mara mbili na leseni ya biashara mara moja, utaratibu niliousema ndio uliotumika.
Thanks