Jamani wana JF,Lulu ni mchaga, katu hata siku moja hawa ndugu zangu haswa wanawake wa kichaga hawataki kukua. Haiwezekani atimize miaka 18,leo hii aseme ana miaka 17 mara 16, hao wazazi wake nao wana matatizo, sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho, kama ni mtoto mdogo mbona ana mambo ya ki...