Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Kesi ya Lulu imeendelea kutajwa leo Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu. Cheti cha kuzaliwa kinaonesha kuwa Lulu anaitwa Diana Elizabeth Michael; umri miaka 17; wakati maelezo yake Polisi yanaonesha umri miaka 18; Jina Elizabeth Michael.
Ombi la upande wa utetezi la kwamba kesi isikilizwe Mahakama ya Watoto (Juvenile Court) limekataliwa kwa kuwa Mahakama hiyo haina Mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo hivyo ombi hilo lipelekwe Mahakama Kuu kesi ikipelekwa huko! Pia Mahakama imeagiza uchunguzi zaidi ufanywe kuhusu utata wa majina na umri wa Lulu!
Source: Clouds TV.
Ombi la upande wa utetezi la kwamba kesi isikilizwe Mahakama ya Watoto (Juvenile Court) limekataliwa kwa kuwa Mahakama hiyo haina Mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo hivyo ombi hilo lipelekwe Mahakama Kuu kesi ikipelekwa huko! Pia Mahakama imeagiza uchunguzi zaidi ufanywe kuhusu utata wa majina na umri wa Lulu!
Source: Clouds TV.