maajabu ya JK
Ww ni mdini. Subiri padri wako Dr.silaha.Wislamu wamefeli sana mitihani.......JK hataki kukubali
leo ni siku ambayo vijana wetu wa form six wameanza mitihani. nashangaa hakuna chombo cha habari kilichotangaza habari hii kuanzia RADIO, TV NA MAGAZETI. kulikoni mbona wa darasa la nne la saba walitangaza? au Baraza limesahau kutangaza?