Recent content by Lihumbo1

  1. Lihumbo1

    Sheria za kufuata unapotaka kumuacha Mke kwa talaka

    Allah akufanyie wepesi kwa ufafanuzi uliochanga mipaka ya kisheria na kwa imani yangu inaeleweka kwa kiasi kikubwa
  2. Lihumbo1

    Dunia yapinga na kulaani uamuzi wa Trump juu ya Jerusalem

    Ndugu Yerusalemu ni mji mtakatifu Kwa imani yenu Kuna wengini hatuamini kuwa huo ni mji mtakatifu Na kwa imani yako ndio inakuonesha kuwa uislam ulianza juzi ila kwa wenye imani ya uislam wanaamini kuwa uislam ulianza kabla ya issa bin mariam(yesu) Enzi za nabii ibrahim bado uislam upo...
  3. Lihumbo1

    Nifanye nini niongeze kipato chagu

    maneno yako poa sana kwa mtu mwenye mazingatio ,
  4. Lihumbo1

    Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

    Allah awapesubira kwa msiba huo unaendelea dodoma ,serikali ndio yenyemaamuzi ya mwisho kwa mambo yetu ya kidunia hivyo watu wamuombe Allah awape zaidi ya hivyo vilivyo haribiwa
  5. Lihumbo1

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    Kaka ukiona sms kama hizo daawa yake ni kuzipuuzia bila shaka akifanya siku mbili akagundua hakuna mafanikio hawezi kuendelea na hilo jambo, kwahiyo kukaa kwako kimwa kutamfanya atajifunza kitu akiwa mtu mwenye akili iliyosalimika.
  6. Lihumbo1

    Ni marufuku kusambaza picha hizi maana mnaongeza frustration za serikali

    Hizo picha zinazoonyesha nyufa ni za majengo ya serekali au mtu binafsi?
  7. Lihumbo1

    Tabia ya kuaga maiti ni ya hatari sana

    Hii ya kuweka uwanjani ni kudhalilisha maiti
Back
Top Bottom