Ndugu Yerusalemu ni mji mtakatifu
Kwa imani yenu
Kuna wengini hatuamini kuwa huo ni mji mtakatifu
Na kwa imani yako ndio inakuonesha kuwa uislam ulianza juzi ila kwa wenye imani ya uislam wanaamini kuwa uislam ulianza kabla ya issa bin mariam(yesu)
Enzi za nabii ibrahim bado uislam upo...
Allah awapesubira kwa msiba huo unaendelea dodoma ,serikali ndio yenyemaamuzi ya mwisho kwa mambo yetu ya kidunia hivyo watu wamuombe Allah awape zaidi ya hivyo vilivyo haribiwa
Kaka ukiona sms kama hizo daawa yake ni kuzipuuzia bila shaka akifanya siku mbili akagundua hakuna mafanikio hawezi kuendelea na hilo jambo, kwahiyo kukaa kwako kimwa kutamfanya atajifunza kitu akiwa mtu mwenye akili iliyosalimika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.