mysimu
Senior Member
- May 2, 2017
- 151
- 44
Ndugu marafiki wanajamii wadau wa JF. Naombeni ushauri nina simu yangu aina ya samsung galaxy J7 ninataka niiuze na ina miezi 9 tangu niinunue.
Nataka niiuze ninunue simu nyingine. Sasa je ni simu gani nzuri ambayo ninaeza nikainunua ikawa imara kama hii niliyonayo ila iwe ya aina tofauti na samsung! Na isiwe apple!
NAOMBENI USHAURI.
Nataka niiuze ninunue simu nyingine. Sasa je ni simu gani nzuri ambayo ninaeza nikainunua ikawa imara kama hii niliyonayo ila iwe ya aina tofauti na samsung! Na isiwe apple!
NAOMBENI USHAURI.