Kuna kipindi alisema wanaume wote wa NK wanyoe nywele kami zake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
uwanja wa ndege wa NK unaulizi balaa yaani ukiwa unatoka kwenda nchi nyingine unapekenyuliwa mpaka basi na kuwezi kuondoka kitu chochote ambacho wanahisi ni hatari kwao wala information zozote huwezi...
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] jamani unatakiwa kumwambia dada wigi lako zuri kama amevaa wigi na kama ni natural hair umwambia, wanawake wanapenda kusifiwa jamani hata kama kwa uongo [emoji23]
Hiyo hela ya nauli mwezi mzima plus hela ya chakula mchana mara miezi utakayofanya kazi bora ukaziweka ukafungua biashara ya karanga kwa mwezi unajua umeingiza faida kiasi kuliko kumfaidisha mtu bila malipo, fanya marketing for your own business
[emoji115] [emoji115] [emoji23] jamani mfano huo hapo mtoto ana miaka 2 na mdogo wake miezi 7 sasa afanyaje lzm mkubwa aende shule ili dada abaki nyumbani mtoto wa miezi 7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.