sio kopo tuu mkuu wengine hadi ndoo...Wanawake buana hatare saana
Et kutoroka kwao usiku nakwenda kwa
msela hawaogopi ila kutoka nje usiku
kukojoa wanaogopa wanakojoa kwenye kopo Akil zao wanazijua wenyewe
Kweli nature ni nature tu...
namimi namsubiri miss chagga aje kwanza ili atoe majibu mazuri ya huu uzinasubiri comment ya Miss chagga na Miss natafuta.. Uzi uishe..
jamani unatakiwa kumwambia dada wigi lako zuri kama amevaa wigi na kama ni natural hair umwambia, wanawake wanapenda kusifiwa jamani hata kama kwa uongoAkivaa wigi ukamwambia NYWELE ZAKO NZURI UMEPENDEZA wanajibu AHSANTE
jamani unatakiwa kumwambia dada wigi lako zuri kama amevaa wigi na kama ni natural hair umwambia, wanawake wanapenda kusifiwa jamani hata kama kwa uongo
Mama yako na ndugu zako wa kike wana akili na tabia hiyo?
Amesema wanawake, ina maana mama zetu na ndugu zetu wa kike. Au mi nilimwelewa vibaya?Mkuu umemtaja mama yake!
miss changa na Miss Natafuta, Namge anawaita mi hata sijui kwaajili ganinasubiri comment ya Miss chagga na Miss natafuta.. Uzi uishe..