Recent content by levi investment

  1. L

    Hongera Mahakama kufunguliwa MwanaHalisi

    Hiyo fidia ilipwe fasta na tena isiwe kwa mafungu...
  2. L

    Suppression of Dissent; Mbowe ni Shujaa

    Mbowe ni kiongozi mbunifu na anakwenda na alama za nyakati
  3. L

    TCRA mchukulieni hatua Balali wa Twitter

    Balali hawezi kuandika namna hii...this is just a childish game
  4. L

    ITV huu sasa ni upendeleo wa wazi wazi kwenye habari zenu

    Jamaa anatembea na lowasa no Asiraji Mvungi ambae huripoti kutokea Arusha.Inaonekana c mzuri kwenye editing coz studio wao wanarusha habari kama ilivotumwa na mwandishi(reporter) kutoka eneo husika.Anaepitia hiyo habari kabla haijaruka ni news editor ili kucheki kama haina utata.So huyu Mr...
  5. L

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Ndo amemaliza hatakuja ongea tena...amechelewa na hana impact yoyote.Too little too late
  6. L

    Msaada wakuu

    Elewa kwanza kupanda na kushuka kwa uchumi ni kitu gani then utajua kitu inaitwa currency value. Ni viti vya kitaalam co blablaa
  7. L

    Uzinduzi kampeni UKAWA

    Eti manispaa ya ilala izuie, yaani hata hawajui uchaguzi mkuu ni tukio kubwa ambalo huja mara1 after 5 yrs.Hizi harimashauli zetu ni utumbo mtupu.
  8. L

    Vodacom, mnafahamu maana ya UNLIMITED Intenet?

    Airtel ndo habar ya mujini kwa mambo ya internet
  9. L

    Natafuta Game ya GTA 5 na flight simulation

    Flight simulation ni mwishooo...umenikumbusha bro
  10. L

    Mbowe: JWTZ imepeleka Wataalamu wa IT NEC

    Kama jeshi linakiuka code of conduct kwa nn wasiambiwe? Usidhani watz wa leo ndo wale wa enzi zenu humtishi mtu hapa.Na kwa taarifa yako taarifa hizi zinatoka huko huko jeshini tena ngazi za juu.Wanajeshi nao wanataka reforms usituletee mikwara yako jiangalie ww.
Back
Top Bottom