Kuna uhusiano gani kati ya Balali na Ukawa?Ukawa imegeuka Chama Cha ufufuo, maajabu hayatakaa yaishe kabla 25 Oct haijafika.
Kwa kuwa hii sheria imeshaanza kutumika sioni sababu ya kumfumbia macho huyu Balali wa Twitter.
Tunajua Balali ameshakufa, sasa anachokifanya huyu wa Twitter ni upotoshaji na kama mtanyamaza basi nitaamini kuwa Daudi Balali yupo hai.
Fanyeni tracking zenu, huyu anahatarisha amani ya nchi.
ulienda kumzika bali ww? kuna ndugu yake alienda kumzika? mlionyeshwa picha za mazishi? kuna kiongozi wa kiserekali alienda msibani? watanzania sio wehu
Katika mtandao wa tweeter kuna mtu anajiita daudi balali, mtu huyu amekuwa anatweet sana mambo mengi yanayohusu serikali, vyama/taasisi na watu binafsi. Amekuwa akitutukana watanzania sana...amekuwa akitoa kashfa nyingi zinazohusu taasisi hizi...hivi tiss na vyombo vya dola kwani hamjui? Fuatilieni kwa kutumia sheria hii mpya...achukuliwe hatua kisheria...sidhani kama ni balali original ijapokuwa anajifanya kuwa ndiye mwenyewe!!!
na amekuwa akitweet siku nyingi,wala hata hafatiliwi,
Kwa kuwa hii sheria imeshaanza kutumika sioni sababu ya kumfumbia macho huyu Balali wa Twitter.
Tunajua Balali ameshakufa, sasa anachokifanya huyu wa Twitter ni upotoshaji na kama mtanyamaza basi nitaamini kuwa Daudi Balali yupo hai.
Fanyeni tracking zenu, huyu anahatarisha amani ya nchi.
Duuh kwamba ilikuwa changa la machoCcm walisema balali kazikwa silverspring kwenye makaburi ya gate of heaven huko marekani. Lakini ukiingia kwenye database yao uki search kaburi lenye jina la balali hakuna jina lake. Tunajua balali yupo.View attachment 3172671
mbona hata wewe ulishakufa mzee na unaandika hapa? au.Na wewe una uhakika gani hajafa? Onyesha evidence