Hapo hamna ndoa ndugu
Uneshaambiwa hauwezi kuzaa naye ina maana jamaa kashamuendea kwa wataalamu
Mwanamke kashakwambia hawezi kuacha kuongea na mzazi mwenzake inamaanisha kwamba jamaa anamla unayemuita mke wako
Mshaanza kupigana chupa na kumwagana damu utakuja upigwe bisu la tumbo au uwekewe...
Hii story inaboa sana mwanzoni hasa aina ya lugha ya uandishi aliyoamua kutumia mwanzoni then mwishoni ndio inanoga maana ameandika kiswahili kilichonyooka
Unayumba mwanangu yaani umeshashika tackle ametulia halafu unaleta habari za kuelezea hisia wakati taa ya kijani imeshawaka ikikwambia endelea na unachokifanya
Kamwe huwezi kusikia wala kuona mtu mwenye akili akiwabeza watu waliofeli kwenye makaratasi......ila hawa wenzangu wenye akili za kuokoteza ndo hufanya hivo.
Huwezi kumkebehi mtu kwa hayo matokeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.