Recent content by lemutuz

  1. lemutuz

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Bashite ana ziro ila anawakimbiza wakubwa na hela zao njoo kwangu acha ubaguzi
  2. lemutuz

    Kipindi cha Ala za Roho Clouds FM kinakiuka maadili

    Kumbe watu wakisikiliza kipindi redioni wanaona na waendesha kipindi makubwa
  3. lemutuz

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Nisaidie tafadhali mimi naota nafanya mapenzi na mwanamke mzuri huwa inatokea mara kwa mara pia kuna kipindi naota mke wangu anapata uchungu anatapika nyongo kisha baadaye anaanza kunikaba
  4. lemutuz

    Kwa hali Hii kuna haja ya kuhama Voda

    Mimi nishabadilsha situmii tena voda
  5. lemutuz

    Msaada: Nimepigiwa na namba ya ajabu +888888888888

    Ha!ha!ha utani mwingine bana...!!!
  6. lemutuz

    Msaada: Nimepigiwa na namba ya ajabu +888888888888

    Amani iwe nawe usiogope wala usifadhaike...!!!
  7. lemutuz

    Msaada: Nimepigiwa na namba ya ajabu +888888888888

    Tanzania hakuna code number kama hiyo mkuu badilisha line ni ushauri tu kisha nenda kanisani ukaombewe....!!!one lav
  8. lemutuz

    Mkwepa kodi mkubwa huyu hapa

    Usililijua ni sawa na usiku wa giza....!!!
  9. lemutuz

    Majambazi wavamia na kupora pesa CRDB na DCB Bank Chanika

    Mmmh ila ninavyojua vituo vidogo havina silaha mtoa taarifa kwenye bank hizo hapakuwa na askari wa ffu kama zilivyo bank zingine
  10. lemutuz

    Safari ya Vijibweni: Nazi, Muhogo mbichi pamoja na karanga mbichi

    Cheki tarehe wasijekukusaga kama gombare
  11. lemutuz

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ongezeni matawi mengi tunapata shida sana hasa mwisho wa mwezi tafuteni mbinu nyingine za kuhudumia wateja wenu kiukweli mnakera sana
Back
Top Bottom