Ni nazi sema huwa imekomaa kupitiliza...sasa ukitaka kujua balaa lake tumia kwa muda wa wiki mbili mvululizo then andaa pambano na kabla ya pambano hakikisha umekula vizuri.
zinawaongezea nguvu za kupata hela
Hapo umejiandaa kwa pambano la wiki mbili alafu 2 days before akasema atakuja inafika siku ya tukio ana safiri