Kipindi cha Ala za Roho Clouds FM kinakiuka maadili

Kipindi cha Ala za Roho Clouds FM kinakiuka maadili


Bangi MAARUFU Zinatoka TARIME, LONGIDO Na NJOMBE Je Mkuu Wewe Aina Yako Hii Ya Bangi UMEITOA Wapi Hapa Tanzania? Halafu Super Handsome Nitakuchenjia Japo Ni Rafiki Yangu Mzuri Kama Akina Nifah, Mussolin5 Na UncleBen Lakini NISIWE MNAFIKI au MWONGO Siku Hizi Hauko Vizuri KICHWANI Na Nahisi Kuna Tatizo LILILOTUKUKA LINAKUSIBU. Wewe Ukiwa Kama Member MWANDAMIZI Humu JF Nakupa Saa 3 Tu UTUOMBE RADHI WANA JF WOTE Halafu Kisha Utoe MAELEZO Ya KUTUKUKA Kwa Marafiki Zako Sisi Wanne Ya Kwanini Siku Hizi UMEKUWA FYATU Hivyo Na Usipofanya Hivyo Nakuapia NITAKUCHOKOZA Kama Kawaida Yangu Hadi UKASIRIKE Na ULIE. Halafu Cha Kushangaza Kuna Members Humu KILA KUKICHA WANASEMA Kuwa Mimi Natukana Na Huwa WANAJITOKEZA KIPOPOMA Kunilaumu Lakini Ktk TUSI HILI KUBWA NA LILILOTUKUKA Simwoni Hata Mmoja Hasa Hasa POPOMA Nifah Na Wengine Wengi Tu.
 
Kumbe watu wakisikiliza kipindi redioni wanaona na waendesha kipindi makubwa
 
Bangi MAARUFU Zinatoka TARIME, LONGIDO Na NJOMBE Je Mkuu Wewe Aina Yako Hii Ya Bangi UMEITOA Wapi Hapa Tanzania? Halafu Super Handsome Nitakuchenjia Japo Ni Rafiki Yangu Mzuri Kama Akina Nifah, Mussolin5 Na UncleBen Lakini NISIWE MNAFIKI au MWONGO Siku Hizi Hauko Vizuri KICHWANI Na Nahisi Kuna Tatizo LILILOTUKUKA LINAKUSIBU. Wewe Ukiwa Kama Member MWANDAMIZI Humu JF Nakupa Saa 3 Tu UTUOMBE RADHI WANA JF WOTE Halafu Kisha Utoe MAELEZO Ya KUTUKUKA Kwa Marafiki Zako Sisi Wanne Ya Kwanini Siku Hizi UMEKUWA FYATU Hivyo Na Usipofanya Hivyo Nakuapia NITAKUCHOKOZA Kama Kawaida Yangu Hadi UKASIRIKE Na ULIE. Halafu Cha Kushangaza Kuna Members Humu KILA KUKICHA WANASEMA Kuwa Mimi Natukana Na Huwa WANAJITOKEZA KIPOPOMA Kunilaumu Lakini Ktk TUSI HILI KUBWA NA LILILOTUKUKA Simwoni Hata Mmoja Hasa Hasa POPOMA Nifah Na Wengine Wengi Tu.
Hahahahahaaa leo rafiki yangu Super Handsome kateleza,tumsamehe na tumpe onyo kali asirudie tena.
Ila nimefuatilia hili naona kachokozwa,tofauti na wewe kubwa la MAPOPOMA ambaye huwa unachokoza watu na majibu yako ya shombo + matusi.
 
Kumbe hio station ipo mie tangu ni hamie tbc taifa. Aka radical huko kwingine nimepasahau
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
Wivu utakuua wewe...nawewe mtafute wako mkiss uone kama kuna atakayekufuatilia
 
Hahahahahaaa leo rafiki yangu Super Handsome kateleza,tumsamehe na tumpe onyo kali asirudie tena.
Ila nimefuatilia hili naona kachokozwa,tofauti na wewe kubwa la MAPOPOMA ambaye huwa unachokoza watu na majibu yako ya shombo + matusi.

Ila Angekuwa GENTAMYCINE Hapo Hadi Mishipa Ya Matakoni Ingewatoka Humu Kwa KUNISHAMBULIA Na KUNISEMA. Kweli Sasa Nimeamini Kuwa Kunya Anye Kuku Na Akinya Bata Kaharisha. Halafu Si Nilishakuambia Kuwa Kanuni Ya KITAALUMA Duniani Kote Kule Yule Anayeanzisha Neno au Msamiati Fulani Halafu UKASHIKA Na Ukawa PENDWA Huwa Hatakiwi Kuitwa Hivyo Yeye? Unajifanya Umejisahau? Nitakuchenjia Sasa Hivi Ohoooooooooooooo! Umenisahau? POPOMA Wewe, Mussolin5, Super Handsome Na Wale Wengine Wote Wanaonichukia ILA Kwa Wanaonipenda Basi Nasema Kuwa Wana AKILI ZILIZOTUKUKA!
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
Mbona muvi za kibongo wanadendeka na mnaangalia mkiwa na watoto wenu? Wacheni maneno bhana
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
Sasa watu walionaje hilo denda mkuu wakati ni redioni?
 
Wewe ndio una matatizo, ulisikiliza kwanini? si ungezima redio? Ukome!
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
Duuu!! umenikumbusha mbali sana, ni miaka kadhaa sas tokea nimeacha kusiliza na kutazama vyombo vya habari vilivyo chini ya Clouds
 
yaaai huyu binti
mama
msichana huwa anaongeaga mambo ambayo mmmh ni shida
 
Back
Top Bottom