Naam! Ziwa lote ni la Tanzania, na sasa Malawi wahame kandokando ya Ziwa letu, isipokuwa sehemu ya Msumbiji (nchi ndugu wa damu)wao sehemu yao ni yao. Malawi wahame ziwani kote.
Tumtazame kwa umakini Shujaa huyu Shai Rose, isije kuwa ana ushujaa unaowatisha maadui wa Utanzaniauliotukuka kizalendo zaidi. Tumsapoti hadi pale tutakapo dhibitisha kuwa ana kosa.
Twelve : Ndii kiongozi pekee East Africa anaeabudiwa na viongozi wa Kenya, kwa kuwa ndie Mfalme wa Wamasai wote Duniani, basi ukitaka uwaone mawazi wa Kenya wakija kuhiji kwake na kupokea maelekezo na muongozo, karibu ni Munduli.
Mchagga akijuwa Mmasai yupo lazima ataogopa tu, na daima hata Mmasai afanye jambo jema vipi Mchagga haungi mkono, alipofariki Sokoine Wachagga na Wapare walifanya siku kuu kubwa na Miaka miwili tu baadae walianza kumshawishi Msuya na Mwinyi wawahamishe wamasai Mkoani Kilimanjaro, ndio eneo lao...
Baada ya Jaribio la Mapinduzi au Uhaini la Rais Aboud Jumbe wa Zanzibar ambae cheo chake cha kwanza kilikuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, baada ya uhaini katiba ilibadilishwa.
Sasa Makamu wa Rais wa Tanzania atakuwa huku huku Daressalaam na atoke upande wa pili wa Muungano.
Rais wa Visiwa amebaki...
Balozi wa Tanzania Italy na nchi jirani juzi kwa ushirikiano na Jumuiya ya Watanzania Roma waliwaalika Watanzania kuja kusheherekea kwa furaha miaka 50 ya Jamhuri ya Muungano.
Ilikuwa raha sana kuona wachangiaji wote walivyokuwa na uzalendo wa hali ya juu, pia hotuba ya balozi Dr Msekela ilijaa...
naona wamasai kuwepo zanzibar unaumia sana, kwa hiyo wewe asili ya jamii yako ni uandishi tu katika jamiiforum? hawakujishughulisha na uvuvi au kilimo wala uwindaji? nyinyi na kabila lako mlikuwa wataalam wa IT tangu enzi za binamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.