Kama tangu mwanzo walijua kuwa bei ya mafuta itapanda na hawakuchukua hatua yoyote zaidi ya kututangazia kuwa bei ya kila kitu kitapanda bei sasa hiki wanachotaka kukifanya ni kuwafanya wafanyabiashara wapige super profit maana mafuta yatashuka ila bei ya vitu haitashuka.
Walishindwaje kuchukua...
Walichokielezea humu ni tofauti na walichokifanya, mm kila mwezi wanakata makato ya mwezi ya shlng 1800, lakini na hyo 7999 nayo wamechukua... Nilijiuliza sana juu ya hyo card fee nikidhani ni mm peke yangu ndiye niliyekatwa kumbe tuko wengi.
Hapa ni kwenda kutoa hela zangu zote na kuhamia benki...
Mkuu, ni kweli wachina wamekuwa na uhitaji wa hii mihogo yetu ila tatizo lililopo ni katika bei yao ya manunuzi... Bei yao ya kununua mhogo ni tsh 100/kg. Ukipiga hesabu za uzalishaji, uvunaji na usafirishaji bei hyo hailipi..
Ila wakulima tunatangaziwa kuwa tuna wawekezaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.