Ulifukuzwa CHADEMA baada ya ku misbehave;uko ccm unaenjoy maisha,haya mambo ya CHADEMA na MBOWE unayafuatilia kwa nini?unam-potray kama weak leader kama ndivyo kwa nini uumie ww green guard badala ya kifurahia.
Na kama MBOWE ni weak leader why mnaendelea kumuandama kwa visa lukuki.
Hiyo...
Hakuna ulazima wa kujiunga na vyama vya wafanyakazi,Sheria haiko hivyo...kinachofanyika ni ubabe usiokua na tija wa kuwakata wafanyakazi kabla ya maafikiano ya kujaza form za ttu
Mtoa mada umewaza mbali na hoja yako ni nzuri mno,hata mimi sijui ni kwa nini tunaendelea kuwang'ang'ania wazanzibar,kwa nini wasiachwe huru wakajadili mambo yao,wakaiendeleza nchi yao wenyewe.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.