Kama asemayo Tarimba Abbas ni kweli basi hii nchi tunakwama pakubwa

M.Rutabo

Senior Member
Apr 8, 2015
161
433
Nimemsikiliza kwa umakini wakati akizungumza kwa uchungu kwamba kapoteza watoto wake wawili wakiume ndani ya miezi minne tu. Chanzo cha vifo vyote ni homa ya dengue.

Just imagine mtoto mmoja miaka 23 ambaye alikuwa rubani, mwingine miaka 26 huyu alikuwa fundi mechanics wa ndenge. Fikiria kama mzazi umesomesha watoto wako kwa kiwango hicho halafu ghafla homa ya Dengue inawachukua kutoka duniani how can u explain this?

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa yule mtoto wa mzee Malechela aliyekuwa mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa magonjwa nchini alitumbuliwa kwa kosa la kutangaza kwamba homa ya Dengue imeingia Tanzania. Sasa sijui mpaka sasa Serikali imeshakiri uwepo wa homa hiyo au labda bwana Abbas Talimba anatuongopea watanzania.

Anyway pole zangu kwa wafiwa kwa msiba mzito sana.
 
Halafu nahisi pia hawa vijana hawakua exposed kwenye enough allergens wakati wanakua hivyo kinga zao za mwili hazikua strong enough (as per hygiene theory) kupambana na visababishi maana wengi tu wanaugua dengue na kurecover

Wapumzike kwa amani
 
Sasa mbona nimeingiwa na hofu ghafla maana siku chache zijazo nimejipanga kuja kuosha macho kwenye jiji la Makonda!
 
Pole sana Mzee Abbas, ni Mungu mwenyewe anayeweza kukufariji. It is such a tragedy. May their memory be a blessing!
 
....
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa yule mtoto wa mzee malechela aliyekuwa mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa magonjwa nchini alitumbuliwa kwa kosa la kutangaza kwamba homa ya ndegue imeingia Tanzania. ....
... hapana, ilikuwa zika. Pole sana kwa Tarimba Abbas na familia. Very sad indeed!
 
Nimemsikiliza kwa umakini wakati akizungumza kwa uchungu kwamba kapoteza watoto wake wawili wakiume ndani ya miezi minne tu. Chanzo cha vifo vyote ni homa ya dengue.

Just imagine mtoto mmoja miaka 23 ambaye alikuwa rubani, mwingine miaka 26 huyu alikuwa fundi mechanics wa ndenge. Fikilia kama mzazi umesomesha watoto wako kwa kiwango hicho alafu ghafla homa ya ndegue inawachukua kutoka duniani how can u explain this?

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa yule mtoto wa mzee malechela aliyekuwa mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa magonjwa nchini alitumbuliwa kwa kosa la kutangaza kwamba homa ya ndegue imeingia Tanzania. Sasa sijui mpaka sasa serikali imeishakiri uwepo wa homa hyo au labda bwana Abbas Talimba anatuongopea watanzania. Anyway pole zangu kwa wafiwa kwa msiba mzito sana.
Zika sio Dengue
 
Halafu nahisi pia hawa vijana hawakua exposed kwenye enough allergens wakati wanakua hivyo kinga zao za mwili hazikua strong enough (as per hygiene theory) kupambana na visababishi maana wengi tu wanaugua dengue na kurecover

Wapumzike kwa amani
Umeongea kitaalam kabisa Chief. Basic concepts of Immunology.
 
Wapumzike kwa amani , cha kushangaza ni hiki , mtu una hela halafu wanao wanaishije Tanzania ?
 
Back
Top Bottom