.. uwezo huo wa kusafiri kutoka sehemu moja kwa ungo kwenda sehemu nyingine haupo! ila huu ni ujanja fulani wa kitapeli ambapo unalenga kumpa sifa mganga fulani wa eneo la tukio hilo kua yeye ndie aliedhibiti anga lake wachawi wasipite. kwa kawaida baada ya tukio kama hili muandaaji wa hiyo muvi huanza kupiga hela!
Kuna ndege ya asili iliyotengenezwa na watanzania na yenye uwezo wa kumbeba abiria mmoja tu imepata ajali maeneo ya Sakina Arusha usiku huu, kwa mujibu wa Radio 5 Arusha kupitia mwandishi wake Davis Rhonyagira, ndege hiyo ilikua na rubani tu na kwa bahati nzuri hakuumia kabisa japo ndege yake imesambaratika vipande vipande.
Amedai kuwa ametokea Msumbiji akielekea jiji la Tanga. Wakazi wa Sakina wamempa msaada wa nguo na bado wanaendelea kumfanyia mahojiano!
una matatizo ya masikio wewe wala si machoWeka picha
Arusha kunaniii!!!
Na mvua hizi ingesaidia sanaHao jamaa wangetumiwa vizuri foleni Dar zingekuwa hadithi
Hiyo ndege haina bima ili mhusika afidiwe anunue ndege mpya?Kuna ndege ya asili iliyotengenezwa na watanzania na yenye uwezo wa kumbeba abiria mmoja tu imepata ajali maeneo ya Sakina Arusha usiku huu, kwa mujibu wa Radio 5 Arusha kupitia mwandishi wake Davis Rhonyagira, ndege hiyo ilikua na rubani tu na kwa bahati nzuri hakuumia kabisa japo ndege yake imesambaratika vipande vipande.
Amedai kuwa ametokea Msumbiji akielekea jiji la Tanga. Wakazi wa Sakina wamempa msaada wa nguo na bado wanaendelea kumfanyia mahojiano!