Umeshindaje? nayo haiendi
Unaweza kuzani uliyemtumia ana kiburi kumbe wapi? Kuna maneno ili yaende inabidi uandike kifupi au kwa namna nyingine. Wanazingua sana.
Kuna simulizi moja inasema hivi,
Fisi na punda walikua wanabishana kuhusu rangi ya majani,
Fisi anasema majani ni ya blue, punda anasema majani ni ya kijani,
Baada ya kubishana sana bila kufikia muafaka ikabidi waende kwa mfalme simba ili kupata jibu la uhakika,
Kufika kwa simba Fisi akasema...
Utawaondoa leo kiutu, kesho wanarudi tena. Ni bora alivyofanya hivyo kuliko angewachapa hao watu. Watu waache ubishi, kama kuna katazo kwanini wafanye hapo.
Utu uliotumia ni katazo lenyewe, wao wangekua na utu wasingeenda kufanya biashara sehemu iliyokatazwa. Mwisho wa siku wakiachwa hapo alafu...
Kuna mambo mengine tusilaumu tu kabla hatujayajua kiundani,
Hapo huenda haparuhusiwi biashara, huenda na tangazo kabisa lipo hapohapo lakini utakuta watu wanajifanya kichwa ngumu wanaenda kufanya biashara hapo alafu yakitokea hayo wanaanza kulalamika hawana utu.
Ukija leo ukawaambia kwa upole...
Wakifanya hivyo mpira utakua wa hovyo sana, Lengo la mechi ni kushinda, na magoli ndiyo yanayoleta ushindi, kwaiyo ili kujihakikishia ushindi kuna mambo mawili, funga magoli mengi ili mpinzani wako asiweze kurudisha au funga goli moja alafu paki bus ili kulinda ushindi.
Hii kesi jamaa atachomoka inaonekana anatembeza mpunga wa kutosha, kesi gani isiyoisha na kitu kipo wazi kabisa. Hapo majibu yanakuja ana matatizo ya akili mwisho wa siku anaachiwa huru au anahukumiwa miaka miwili au mitatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.