Recent content by Lazr

  1. Lazr

    Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

    JamiiCheck watusaidie kwa hili
  2. Lazr

    Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

    Yani ni sawa na wewe hapo jirani yako aje akupe nguo kama msaada wakati wewe una zako, sasa sijui utapokea ili usivunje mahusiano naye?
  3. Lazr

    Mtandao wa tigo una "filter" text meseji zetu

    Umeshindaje? nayo haiendi Unaweza kuzani uliyemtumia ana kiburi kumbe wapi? Kuna maneno ili yaende inabidi uandike kifupi au kwa namna nyingine. Wanazingua sana.
  4. Lazr

    Je, kuna madhara yoyote kwa kuchanganya pombe na energy?

    Mbona unaenda mbali sana, yani hata usipochanganya kila kimoja kina madhara.
  5. Lazr

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Kuna simulizi moja inasema hivi, Fisi na punda walikua wanabishana kuhusu rangi ya majani, Fisi anasema majani ni ya blue, punda anasema majani ni ya kijani, Baada ya kubishana sana bila kufikia muafaka ikabidi waende kwa mfalme simba ili kupata jibu la uhakika, Kufika kwa simba Fisi akasema...
  6. Lazr

    Video: Angalia jinsi huyu askari alivyokosa utu

    Utawaondoa leo kiutu, kesho wanarudi tena. Ni bora alivyofanya hivyo kuliko angewachapa hao watu. Watu waache ubishi, kama kuna katazo kwanini wafanye hapo. Utu uliotumia ni katazo lenyewe, wao wangekua na utu wasingeenda kufanya biashara sehemu iliyokatazwa. Mwisho wa siku wakiachwa hapo alafu...
  7. Lazr

    Video: Angalia jinsi huyu askari alivyokosa utu

    Kuna mambo mengine tusilaumu tu kabla hatujayajua kiundani, Hapo huenda haparuhusiwi biashara, huenda na tangazo kabisa lipo hapohapo lakini utakuta watu wanajifanya kichwa ngumu wanaenda kufanya biashara hapo alafu yakitokea hayo wanaanza kulalamika hawana utu. Ukija leo ukawaambia kwa upole...
  8. Lazr

    Sheria ya droo (sare) kwenye mpira wa miguu iangaliwe upya

    Wakifanya hivyo mpira utakua wa hovyo sana, Lengo la mechi ni kushinda, na magoli ndiyo yanayoleta ushindi, kwaiyo ili kujihakikishia ushindi kuna mambo mawili, funga magoli mengi ili mpinzani wako asiweze kurudisha au funga goli moja alafu paki bus ili kulinda ushindi.
  9. Lazr

    Mahakama yakubali mshtakiwa mauaji ya mkewe apimwe Afya ya Akili

    Najua hilo, yani mpaka amechoma na kuchoma akaenda kuripoti na polisi kua mke wake kapotea, alafu iwe ameua kwa kutokukusudia kweli?
  10. Lazr

    Mahakama yakubali mshtakiwa mauaji ya mkewe apimwe Afya ya Akili

    Hii kesi jamaa atachomoka inaonekana anatembeza mpunga wa kutosha, kesi gani isiyoisha na kitu kipo wazi kabisa. Hapo majibu yanakuja ana matatizo ya akili mwisho wa siku anaachiwa huru au anahukumiwa miaka miwili au mitatu
  11. Lazr

    Mahakama yakubali mshtakiwa mauaji ya mkewe apimwe Afya ya Akili

    Wewe unaijua DNA kweli? haiharibiwi kirahisi hivyo
  12. Lazr

    Mwamba alivyojimaliza mwenyewe baada ya kugundua kuwa watoto aliezaa na mkewe sio wa kwake

    Ila kwenye group la damu la mtoto sio lazima lifanane na baba au mama, genetics ya form four hiyo.
Back
Top Bottom